Huu upweke huu

Huu upweke huu

navyomjua huyu, anapenda sana kusindikizwa
do ze nidiful

Aisee mkuu unakunywaga maji??
Kama unakunywaga nidai ndoo moja kwa kusema ukweli ulio uch.i ....lol!!!!!!!!
 
ya rangi ya shaba sio....ahadi ni deni
Kama haya??

images


CC: Kaizer ......!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia wewe ni baba paroko si vibaya ukaimba mapambio huenda yakakuchangamsha namlazimisha kukuondolea huo upweke
 
sasa leo baba Paroko itabidi ukaimbe tu kwaya peke yako kanisani...
leo kondoo wapo busy kweli..si unajua tena maulid..
 
ndo nshafika...lols!!!
tulikua zetu tumepumzika kule...nashangaaa unatuita ita tuu
usumbufu tuuu.....

Khaaaaaaa ....!!!!!!!!!!!!!
Ngoja niwachungulie .......

images


Kumbeeeeeeee .....!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom