SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,090
- 6,696
Kuna vitu huwa havipotei kwakuwa kimya. Nikiwa na shauku, kinywa kikafu, bado nitumaini langu kuwa chakato la huyu bwana mkoloni...hapa akiwa "PF3" bado anamsumbua mwananchi wa Tanzania. Itakiwa ni aibu, kubwa tu kama bado inatumiwa.
Kama haya yeshajadiliwa hapa au bungeni, ofisi kuu za serikali na kupatiwa ufumbuzi, mniwie radhi kwani nilikuwa kwenye coma ya kufikiri, hela, rununu,luninga na kadhalika, hivyo basi uwezekano wangu kuwa nimekosa yaliyoganga.
Walakini kama shida hii ipo -siyo pf3 bali usumbufu wa hili Hospitalini na Polisi basi Ukomo wake utakuwa lini?
Ai
Kama haya yeshajadiliwa hapa au bungeni, ofisi kuu za serikali na kupatiwa ufumbuzi, mniwie radhi kwani nilikuwa kwenye coma ya kufikiri, hela, rununu,luninga na kadhalika, hivyo basi uwezekano wangu kuwa nimekosa yaliyoganga.
Walakini kama shida hii ipo -siyo pf3 bali usumbufu wa hili Hospitalini na Polisi basi Ukomo wake utakuwa lini?
Ai