Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Kila siku tunasikia waheshimiwa wamepata ajali na kukimbizwa hospitalini. Je nao wanaulizwa hio PF. 3 au inajazwa wakiwa kitandani? Tatizo la hizi sheria gandamizi ni kuwa haziwagusi wanaozisimamia kwa hiyo hawatambui adha yake. Sheria(?) kama hii ilitakiwa ifutwe mara moja. Haina nafasi katika mazingira ya sasa hivi! Kwa uelewa wa polisi wetu, hii hutumika kuwanyanyasa wasionazo. Ifutwe mara moja.
mkuu syloggist
nakubaliana nawe ktk maswali yako ila naona kuna wanaojua historia yake labda hawajatembelea thread hii.
ila na pressume ilianzishwa na wakoloni ili kuratibisha na kuadabisha watawaliwa wakorofi.
je ni kweli bado viongozi wetu ni wakoloni??
ila nasubiri kupata historia na sababu zake kutoka kwa members
Hivi wakuu hadi leo hii jeshi letu la polisi halina website? Jana nimejarbu kuitafuta bila mafanikio, nilitaka niwatumie maswali kadhaa kuhusu hiyo form.
Yaani karibu na mie nilie kuhusu usumbufu wa Hizi PF3! Shabash
Kana-ka-Nsungu Kwanza hongera za cheo. Pili kwanini haujarudi hapa? Unaogopa polisi wewe! Tehe hehe -Utapata wapi PF3 baada ya mdundo?
Utani mbali, umefikia wapi na maswali kadhaa?
Asante Mkuu. Kuna mtu ameniahidi kunitafutia hiyo form then nitaiweka hapa tuichambue. Bado sina uhakika kama ni kweli jeshi letu la polisi halina website hadi sasa. The plan was to email my questions to them.
Hivi wakuu hadi leo hii jeshi letu la polisi halina website? Jana nimejarbu kuitafuta bila mafanikio, nilitaka niwatumie maswali kadhaa kuhusu hiyo form.
Hivi wakuu hadi leo hii jeshi letu la polisi halina website? Jana nimejarbu kuitafuta bila mafanikio, nilitaka niwatumie maswali kadhaa kuhusu hiyo form.