Huu unaweza kuwa upendo wa dhati?

Huu unaweza kuwa upendo wa dhati?

Ndugu wanajamvi naona wengine watanitafuta physically wanipige vichwa kwa ajili ya hili suala la kiboya kuwahi kutokea.

Kiukwel kabisaaaa hili suala limemtokea mtu na lipo, na jamaa anahadithia bila tatizo lolote na picha za huyu demu wake anatuonyesha kabisa.

Ni kama kaka kazini. Nimeanza kazi nimemkuta na haya ndo malalamiko yake. Kwa mara ya kwanza aliponihadithia nlijikuta nimetoa tusi 'we kweli msenge'
Tulikuwa watatu wakaniandama kweli kuwa nina dharau likawafikia wengine hapo ofsini kuwa sijui nina dharau/sina heshima. Nilishangaa sana kuona wenzangu hata hawashangazwi wala kuguswa na suala la msela wetu.
Nikajiona mkosaji sana kutukana siku ya kwanza maana nliandamwa sana. Ndo maana nikalileta hapa ili nipate mtazamo wa walio wengi. Nikiamini kuwa nyuma ya IDs watu wanasema ukweli zaidi kuliko live mbele ya mshkaji.


Mimi nipo pamoja na wakupiga kibao mpaka aacha ufala, ila kuvuta korodani hapana maana hapa tutakuwa hatujajenga ila tumebomoa.
Asante sana kunionyesha kuwa nipo sawa kutukana
 
Ndg wanajamvi wasalaaam.
nimekuja kwenu labda naweza kupata mawazo ili mnitoe kwenye dilema niliyopo.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mrembo wangu flan kwa zaidi ya miezi 18 ila baada ya hapo akakengeuka kdg akafikia hatua ya kutembea ya rafiki yangu mmoja ambaye wamefahamiana kupitia mimi.
Ilikuwa kama ananipush sana mambo ya kuoana na kufanya mambo ya maendeleo ambayo yalikuwa si rahisi kuyatimiza kwa jinsi alivyokuwa anataka (ndani ya muda mfupi).. mara tunune ploti halafu tujenge ,mara we mbn hufanyi biashara, mara oo ni muda wa kubadili gari sasa n.k,
Nahisi alikuwa analalamika kwa rafiki yangu mpaka wakafikia hatua ya kuwa wapenzi., baadaye nikajua na yeye hakunificha akahamia kabisa geto kwa mshikaji.., kwa kuwa mshikaj naye mambo yalikuwa si mazuri sana akawa anapiga tu na hakuna mabadiliko saaana au niseme hakuna tofauti saaana na kwangu, zaidi aligundua tu kuwa zile outing na birthday cakea ndo zilikuwa hazionekani kama alivyokuwa kazoea kwangu.
Sasa amerudi anasema kajuta na anasema yupo tayar tufanye mipango ya maisha pamoja, kwa kuwa nilikuwa nampenda na kumwonea wivu nikawa kama na hold lakini nikiendelea kupiga.
Nimejikuta nimesharudiana naye bila hata ya commitment zinazoeleweka.
kwa sasa naona tumerudia hali ya awali ya kulalamikiana. Mmoja anishauri kama inafaa kweli niendelee na huyu mpenzi wangu au nimtelejeze tu niwe na amani maishani
yani weuliwezaje kumrudia mara ya pili kwa alichokifanya ..we wa ajabu sana umeharibu sana....huyo ungemuacha abakki na rafiki huyo we ufanye yako
 
Hivi kwa mfano unataka tukushauri nini kama sio kutaftiana lawama.
Kwa kifupi huyo dada hakufai hata kidogo, kitendo cha kutoka na rafiki yako tuu ulitakiwa hadi namba ufute na umblock kila mahali .
Vinginevyo endelea kuwa kipofu wa mapenzi hivyo hivyoo utajikuta umejaza sever ya Jf kwa kuomba ushauri kila siku.
Hivi kwa mfano unataka tukushauri nini kama sio kutaftiana lawama.
Kwa kifupi huyo dada hakufai hata kidogo, kitendo cha kutoka na rafiki yako tuu ulitakiwa hadi namba ufute na umblock kila mahali .
Vinginevyo endelea kuwa kipofu wa mapenzi hivyo hivyoo utajikuta umejaza sever ya Jf kwa kuomba ushauri kila siku.
 
Hii ni issue ya kweli au unachangamsha kijiwe tu? ukioa mwanamke wa namna hiyo aliyedriki kutembea rafiki yako unategemea nini? endelea kuwa naye hlf siku nyingine uje kutuambia katembea na kaka yako
 
Hii ni issue ya kweli au unachangamsha kijiwe tu? ukioa mwanamke wa namna hiyo aliyedriki kutembea rafiki yako unategemea nini? endelea kuwa naye hlf siku nyingine uje kutuambia katembea na kaka yako
umeonaeh maana hapo sijui tunshauri nini na mambo yapo pen
 
Daah wanaume bhana nanyi mna roho ngumu!mtu kakuacha na kudate na rafiki yko but still unarudiana naye kiroho safi na huku unaomba ushauri ili tukujuze km dem anakupenda au la [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Huyo sio mwanaume tu ila ni mwanaume bwege, pumbavu zako mtoa mada wanawake wameisha huko uliko?
 
Anawatumia wote... hata na rafiki yako bado hawajaachana...
 
Ndugu wanajamvi naona wengine watanitafuta physically wanipige vichwa kwa ajili ya hili suala la kiboya kuwahi kutokea.

Kiukwel kabisaaaa hili suala limemtokea mtu na lipo, na jamaa anahadithia bila tatizo lolote na picha za huyu demu wake anatuonyesha kabisa.

Ni kama kaka kazini. Nimeanza kazi nimemkuta na haya ndo malalamiko yake. Kwa mara ya kwanza aliponihadithia nlijikuta nimetoa tusi 'we kweli ******'
Tulikuwa watatu wakaniandama kweli kuwa nina dharau likawafikia wengine hapo ofsini kuwa sijui nina dharau/sina heshima. Nilishangaa sana kuona wenzangu hata hawashangazwi wala kuguswa na suala la msela wetu.
Nikajiona mkosaji sana kutukana siku ya kwanza maana nliandamwa sana. Ndo maana nikalileta hapa ili nipate mtazamo wa walio wengi. Nikiamini kuwa nyuma ya IDs watu wanasema ukweli zaidi kuliko live mbele ya mshkaji.


Mimi nipo pamoja na wakupiga kibao mpaka aacha ufala, ila kuvuta korodani hapana maana hapa tutakuwa hatujajenga ila tumebomoa.
Asante sana kunionyesha kuwa nipo sawa kutukana

Hope miss chagga umeelewa kwamba jamaa alikuwa anatuchora, unajipinda kumwaga point za maana kumbe ni sanaa.
 
Ningekuwa karibu ningekutukana matusi mabaya,kupitia hayo matusi ungemwacha leo leo.acha ufala tutakuzika bila kukunywea uji.
 
hahaaa kuna stage nyingine ukizivuka salama unamshukuru Mungu
 
Back
Top Bottom