BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Huyo yupo desparate na ndoa.... ni hatari
Nimekupata mkuuNakwambia huyo msichana hata ukioana nae lazima ujue utachapiwa tu na wenye hela zao maana anataka maisha ambayo wewe huyawezi kwa sasa.....
Na usipochagua njia sahihi utakuja humu unalia kama chizi
...hizi dharau rafiki ako kabisa alafu unasemaje?[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mtu alikuacha then unamrudia inamaana tabia yke umeipenda au huna uwezo w kupata mwigne mwenye tabia njema....huyo hakufai atakuja kutembea hadi n ndgu yko ndio utie akiliKwann mkuu
Ah ah ah ah ahningekuwa karibu na ww mtoa mada ningekuzaba kofi mpaka ungetaja jina la utani la babu yake kinjektile ngwale
Ebo kuna wanaume ni jina tu, yaani mtu katifuliwa na jamaaa ako kabisa halafu nawe umepiga tena,unataka ushauli gani sa, omba ushul b4 act, acha hayo mambo ya kiboya na kututesit kama wajinga bwana.Ndg wanajamvi wasalaaam.
nimekuja kwenu labda naweza kupata mawazo ili mnitoe kwenye dilema niliyopo.
Nimekuwa kwenye mahusiano na mrembo wangu flan kwa zaidi ya miezi 18 ila baada ya hapo akakengeuka kdg akafikia hatua ya kutembea ya rafiki yangu mmoja ambaye wamefahamiana kupitia mimi.
Ilikuwa kama ananipush sana mambo ya kuoana na kufanya mambo ya maendeleo ambayo yalikuwa si rahisi kuyatimiza kwa jinsi alivyokuwa anataka (ndani ya muda mfupi).. mara tunune ploti halafu tujenge ,mara we mbn hufanyi biashara, mara oo ni muda wa kubadili gari sasa n.k,
Nahisi alikuwa analalamika kwa rafiki yangu mpaka wakafikia hatua ya kuwa wapenzi., baadaye nikajua na yeye hakunificha akahamia kabisa geto kwa mshikaji.., kwa kuwa mshikaj naye mambo yalikuwa si mazuri sana akawa anapiga tu na hakuna mabadiliko saaana au niseme hakuna tofauti saaana na kwangu, zaidi aligundua tu kuwa zile outing na birthday cakea ndo zilikuwa hazionekani kama alivyokuwa kazoea kwangu.
Sasa amerudi anasema kajuta na anasema yupo tayar tufanye mipango ya maisha pamoja, kwa kuwa nilikuwa nampenda na kumwonea wivu nikawa kama na hold lakini nikiendelea kupiga.
Nimejikuta nimesharudiana naye bila hata ya commitment zinazoeleweka.
kwa sasa naona tumerudia hali ya awali ya kulalamikiana. Mmoja anishauri kama inafaa kweli niendelee na huyu mpenzi wangu au nimtelejeze tu niwe na amani maishani
Asante sana... umekuwa honestDear love ya ku cheat ? Mhhh , uuhhh No love hapo .. Please kapime afya yako first and then achana na huyo mdada .. Huyo sio a good wife to be but she is materialism ..... I'm sorry to say that she is not the one.. Move on please.. Thanks..
He wants us to tell him he's on the right truckSo what the flip do you want from us..?