Huu unafiki wa Lowassa unatisha

Huu unafiki wa Lowassa unatisha

uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma

Nitaanza kuiogopa kwanza CCM iliyotuahidi maisha bora kwa kila mtanzania na bado sijaona,Tumia Akili yako hata kama ni ya kipumbavu kujiuliza vitu vimepanda bei kwa kiasi gani,Jiulize tena pale kwako umefunga luku na unanunua Umeme kila siku lakini hapo hapo kila mwezi unatoa elfu saba uwe umetumia umeme au haujatumia lazima ulipe, ukishajiuliza hayo na mengine mengi tulia kimya halafu subiri sanduku La kura ufanye maamuzi,
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.

Kwa hiyo?
 
Wakati Lowassa na JK wanachukua jahazi kwa Mkapa sukari bei ya sukari ilikuwa Shs 650.
Je miaka miwili baadaye wakati anajiuzulu uwaziri mkuu, sukari ilikuwa inauzwa kiasi gani? Aliacha ileile 650 ya Mkapa na Sumaye?
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.

Lowassa anachotaka ni Urais, bila kujali huo Urais anaupataje...yuko tayari kwenda hata Chooni ili apate urais
 
We ni kubaf kabisa, yeye CCM wanavyo muaattack kwamba fisadi, hilo neno fisadi mbona halikuwepo alipokuwa CCM. mkuki mtamu kwa ngurue mtamu!!!!!!!!!!!!!!!


Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
 
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma

Mkuu umekua mpole kama kifaranga mwenye kideri.
 
Hatutishiki na mabodaboda na wazee wa vijiweni kujaza barabara eti wanamsindikiza fisadi kuchukua fomu,nchi hii haiwezi kutawaliwa na mwizi kiurahisi hivyo,hapati kitu hlf tuone ataendelea kubakua chadema au alikwenda kwa tamaa za madaraka ili akatuibie watanzania
 
Hatutishiki na mabodaboda na wazee wa vijiweni kujaza barabara eti wanamsindikiza fisadi kuchukua fomu,nchi hii haiwezi kutawaliwa na mwizi kiurahisi hivyo,hapati kitu hlf tuone ataendelea kubakua chadema au alikwenda kwa tamaa za madaraka ili akatuibie watanzania

Tuliza mshono

mwaka wa miujiza....ni mwaka 2015.

CCM mlizoea kudanganya...kwa miaka 54..sasa mwisho umefika....

vipofu wanaona.....

viziwi wanasikia....

viwete wanatembea....

wajinga na wapumbavu wooote wamekuwa werevu..kila mtu atapiga kura...


mwaka huu hata washirikina wataandamana kupiga kura za haki.

Hakika...Tanzania inazaliwa upya...asie amini asubiri october 25.

MUNGU IBARIKI TANZANIA...



MUNGU MBARIKI LOWASSA.....
 
Tulia dawa ikuingie..... Mbona aliwachana CCM na sera yao ya Kilimo kwanza
 
Tuliza mshono

mwaka wa miujiza....ni mwaka 2015.

CCM mlizoea kudanganya...kwa miaka 54..sasa mwisho umefika....

vipofu wanaona.....

viziwi wanasikia....

viwete wanatembea....

wajinga na wapumbavu wooote wamekuwa werevu..kila mtu atapiga kura...


mwaka huu hata washirikina wataandamana kupiga kura za haki.

Hakika...Tanzania inazaliwa upya...asie amini asubiri october 25.

MUNGU IBARIKI TANZANIA...



MUNGU MBARIKI LOWASSA.....

Hata yeye baada ya kukusoma hapa atakuwa amekuelewa
 
Una maanisha nini mkuu.Walipigania uhuru na haki ya nchi au Chama?Na lowasa anafanya nini now?Au ndo zile zile akili za maccm za kuwaona wasio humo kichakani si watanzania.Yaani mmetuibia sana na kukaa kwetu kimya mmeshatuona wajinga siyo? SASA kwa taarifa yako MAJANI YAMESHAKAUKA alikuwa anasubiriwa mtu wa kuwasha moto tu.Kama hamuamini try

Kamanda hodari vitani husonga mbele daima, akirudi nyuma ni kupanga mikakati ya ushindi na siyo kujisalimisha kwa adui
 
Terejesheeni SLAA wetu. Tunampenda bado na tunamuheshimu.

Alitaka kutuingiza vitani na Malawi alipotangaza majeshi yako tayari wakati hana mamlaka hayo, jamaa ana tamaa alafu hata hajui mipaka ya kazi yeye linalokuja mbele yake ni twende tu alafu eti leo apewe urais, nani anataka vita? rais mwenye mihemo kama mja mzito wa kazi gani? bora tubaki tulivyo ila siyo kuleta makomandoo Ikulu na walanguzi ..ana mori ya kimasai arudi kwao akapigane na Wa kwao
 
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma
yani ningekuwa mod ningewakata hawa jamaa
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.

Angalia anachoongea ni sahihi au ni uongo, kila sehemu ina namna ya uongeaji wake. Yupo UKAWA anaongea kwa lafudhi ya UKAWA. Ukitaka ya mgombea wa CCM, msubiri Magufuli.
 
Ww unasema Lowasa anakurupuka.Huyu aliyeshiriki kuuza nyumba za serkali humu watumishi baadhi kuhamia kwenye mahotel kwa muda mrefu huku serkali ikimlipia mtumishi hela ndefu kuliko hata bei waliyouzia nyumba Hizo siyo kukurupuka? Hivi tulishamaliza kulipa gharama za meli ya samaki za wakorea Kama siyo kukurupuka ktk utendaji.Na kitendo cha kuvunja kituo cha mafuta Mwanza nalo unaliongaje?Mzee Tulia kwanza.Uwe na akiba ya maneno.Unataka kuona nyeti za kuku wewe?Unatak
a kuruhusu fan iwashwe?
 
Kwani CCM walimkosea nini Lowasa hadi awalipe kisasi???, na lini uliongea na lowasa akakuambia kuwa lengo lake ni kulipa kisasi???.
 
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma

dah, jamaa kang'ang'ania kwenda ikulu ka luba
 
Back
Top Bottom