Huu unafiki wa Lowassa unatisha

Huu unafiki wa Lowassa unatisha

huogopi kumuita Lowasa mpinzani. !? Lowasa kapoteza muelekeo wa kisiasa na hata hajui anachokitaka sasa ni nini.

Haya wewe ndo una muelekeo wa kisiasa..sibishani na ma zero brain..ambao hawana fair measurement za mambo yanao tokea katika hali ya uhalisia..
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.

Na awakomoe tu,kwani wana nini bwana
 
Kama maCCM hamna uchu kwanini karibu serikali yote ilijitokeza kuwania kuteuliwa
 
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?

Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
Kuchukua dola ni vita mkuu
 
Back
Top Bottom