CCM na serikali kwa ujumla haiendeshwe na mtu mmoja, ni taasisi
Kwani nani kakwambia serikali ya ukawa itaendeshwa na mtu mmoja.? Ok! Kwani nyie mmejipangaje?
CCM na serikali kwa ujumla haiendeshwe na mtu mmoja, ni taasisi
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
we want ccm deadHaya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
serikali ya ukawa ndo nini? chadema si ni chama cha mtu mmoja anakiendesha anavyotaka? chadema ikiwa madarakani si nchi itaendeshwa na mtu mmoja? anyway, CCM tumejipanga kushinda kwa kishindo october 25Kwani nani kakwambia serikali ya ukawa itaendeshwa na mtu mmoja.? Ok! Kwani nyie mmejipangaje?
Eti tembo wameuawa mara dufu! Huyu mtu huyu ni wa hatari sana.
Yeye alikuwa wapi?
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
Mtu yeyote anayesema lowasa ana uchu na madaraka, namuita mpumbav tu, sababu kila mgombea au chama kinataka kushika dola na sio kukaa nje na kupiga kelele. Walotawala miaka hamsini iliyopita na wanaandaa mazingira ya goli la mkono ndo wana uchu na madaraka
CCM na serikali kwa ujumla haiendeshwe na mtu mmoja, ni taasisi
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.
sisi hatukurupuki, kila kitu kwa mpangowakuogopa ni nyie mlio uza nchi yote, mwaka uhu hakuna msalia mtume mtanyooshwa, mpaka mnyooke,
uchu wa madaraka tu, sijui ikulu kuna nini. sana sana ataiba ili alipe fadhila kwa matajiri. Watanzania tuamke, kamwe amaetumia mbinu na nguvu nyingi kuingia ikulu ni wa kuogopwa kama ukoma
Haya maneno anayaongea na kuwa attack CCM chama ambacho kimemlea mpaka hapa alipo ni unafiki mkubwa.
Najiuliza angepitishwa DODOMA maneno haya angeyaongea wapi.?
Mbele za watu SLAA anaonekana ana uchungu wa kweli kuliko yeye, anayetaka tu lipiza kisasi na kuwakomoa CCM.