Huu ujinga uliofanywa leo na wanaojiita Wakatoliki nitashangaa kama Simbachawene hatowajibika

Huu ujinga uliofanywa leo na wanaojiita Wakatoliki nitashangaa kama Simbachawene hatowajibika

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,276
Reaction score
38,847
Huu ujinga uliofanywa na wapumbavu wasiojielewa na matahira waliojiita wakatoliki nitashangaa sana kama utaachwa hivi hivi.

Wanaoweza kufanya upumbavu kama huo ni watu matahira wasiojua wanachofanya. Sisi kama taifa tumefika mbali kwenye hatua za kutekwa na upumbavu. Kama nchi yapo mambo mengi ya kijinga jinga ambayo tunayaendekeza.

Yaliyotokea October 29 yalikuwa ni majumuisho ya mambo mengi ya kijinga jinga kama utekaji na kunyimwa haki, sasa tumeanza kuingia tena kwenye ujinga mwingine wa kukashifu dini za watu kwa kualika makahaba kuwatumia ili wakachafue dini za watu. Huu ni ujinga!
 
huyo jamaa kama sikosei si alikuwa pia mkuu wa usalama mpaka kutwaliwa kwa Magu? sasa iweje arudishwe palepale tena ktk challenging times kama hizi? labda ni expert wa hilo eneo, who knows? ...
 
Huu ujinga uliofanywa na wapumbavu wasiojielewa na matahira waliojiita wakatoliki nitashangaa sana kama utaachwa hivi hivi.

Wanaoweza kufanya upumbavu kama huo ni watu matahira wasiojua wanachofanya. Sisi kama taifa tumefika mbali kwenye hatua za kutekwa na upumbavu. Kama nchi yapo mambo mengi ya kijinga jinga ambayo tunayaendekeza.

Yaliyotokea October 29 yalikuwa ni majumuisho ya mambo mengi ya kijinga jinga kama utekaji na kunyimwa haki, sasa tumeanza kuingia tena kwenye ujinga mwingine wa kukashifu dini za watu kwa kualika makahaba kuwatumia ili wakachafue dini za watu. Huu ni ujinga!
Afanyeje wakati ni mpango.wa boss wake
 
Huu ujinga uliofanywa na wapumbavu wasiojielewa na matahira waliojiita wakatoliki nitashangaa sana kama utaachwa hivi hivi.

Wanaoweza kufanya upumbavu kama huo ni watu matahira wasiojua wanachofanya. Sisi kama taifa tumefika mbali kwenye hatua za kutekwa na upumbavu. Kama nchi yapo mambo mengi ya kijinga jinga ambayo tunayaendekeza.

Yaliyotokea October 29 yalikuwa ni majumuisho ya mambo mengi ya kijinga jinga kama utekaji na kunyimwa haki, sasa tumeanza kuingia tena kwenye ujinga mwingine wa kukashifu dini za watu kwa kualika makahaba kuwatumia ili wakachafue dini za watu. Huu ni ujinga!
Screenshot_20251230-124956~2.png
 
Huu ujinga uliofanywa na wapumbavu wasiojielewa na matahira waliojiita wakatoliki nitashangaa sana kama utaachwa hivi hivi.

Wanaoweza kufanya upumbavu kama huo ni watu matahira wasiojua wanachofanya. Sisi kama taifa tumefika mbali kwenye hatua za kutekwa na upumbavu. Kama nchi yapo mambo mengi ya kijinga jinga ambayo tunayaendekeza.

Yaliyotokea October 29 yalikuwa ni majumuisho ya mambo mengi ya kijinga jinga kama utekaji na kunyimwa haki, sasa tumeanza kuingia tena kwenye ujinga mwingine wa kukashifu dini za watu kwa kualika makahaba kuwatumia ili wakachafue dini za watu. Huu ni ujinga!
Watanzania ni wale wale hao ni wakatoliki kweli ila ni njaa kama watanzania wengine machawa, hamna cha wasomi au sio wasomi watanzania ni wale wale haijalishi dini yao wanafanana tabia.
 
Watanzania ni wale wale hao ni wakatoliki kweli ila ni njaa kama watanzania wengine machawa, hamna cha wasomi au sio wasomi watanzania ni wale wale haijalishi dini yao wanafanana tabia.
Hadi wanajifunika sura zao wasiaibike?
 
M
Watanzania ni wale wale hao ni wakatoliki kweli ila ni njaa kama watanzania wengine machawa, hamna cha wasomi au sio wasomi watanzania ni wale wale haijalishi dini yao wanafanana tabia.
Malofa.
Ndiyo jina au lugha sahihi.
 
Huu ujinga uliofanywa na wapumbavu wasiojielewa na matahira waliojiita wakatoliki nitashangaa sana kama utaachwa hivi hivi.

Wanaoweza kufanya upumbavu kama huo ni watu matahira wasiojua wanachofanya. Sisi kama taifa tumefika mbali kwenye hatua za kutekwa na upumbavu. Kama nchi yapo mambo mengi ya kijinga jinga ambayo tunayaendekeza.

Yaliyotokea October 29 yalikuwa ni majumuisho ya mambo mengi ya kijinga jinga kama utekaji na kunyimwa haki, sasa tumeanza kuingia tena kwenye ujinga mwingine wa kukashifu dini za watu kwa kualika makahaba kuwatumia ili wakachafue dini za watu. Huu ni ujinga!
Simbachawene ni mbwa kibogoyo, alishakataza polisi kuteka watu lakini bado watu wanaendelea kutekwa na kupotezwa na cha kuwafanya hana anaishia kubweka tu.
 
Back
Top Bottom