Exactly!!!Kumbuka hao watu milioni moja watakuwa wanapambana na vyombo vya dola vilivyoagizwa kufanya lolote, ili ccm watangazwe washindi. Sijui kama unalielewa hili. Hivi unajua fomu ya matokeo kila kituo itatolewa moja tu kwa mawakala iwapo tume itaona hivyo? Vyombo vya dola vitahusishwa moja kwa moja kwenye hii hujuma. Ninaposema silaha za Jadi nielewe nini ninasema, na wapinzani wawaambie kabisa wapiga kura wao kuwa hata polisi wasiaminike kwenye uchaguzi huu.