Kabisaaa yaanKwani mtu hawezi kuingia na simu akawa namtumia mtu wa nje maswali kisha akatumiwa majibu au kuandika majibu na kuyasave kwenye drafts upande wa sms?
Sheria ilishasema usiingie na simu wewe umeingia nayo ya nini?
Hatorudia tena kusahau au hatorudia tena kuingia na simu.Nimeelezwa na huyo dogo yupo hapo MUST kama ni wewe kweli naomba umsaidie bwana mdogo.atakuwa amejifunza naamini hatorudia tena
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Jinsi alivonieleza,na alizungumza na mwalimu kabla ya mambo hayajawa mazito lakini ilkuwa bado ngumu Kwa mkamatajiKwanini umekuja na conclusion kuwa huo siyo ubinadamu wakati unaowashutumu hawana ubinadamu wanasimamia Sheria za Nchi? Wakilegeza mnawaona wazembe, wala rushwa na majina mabaya chungu nzima ila wakienda kwa haki mnasema ubinadamu. Sheria ni msumeno,nawe usiwe unakuja na hukumu kwa watekelezaji sheria hata kama watu wana nia ya kukusaidia wanavunjwa moyo na kauli.
Naamini Kwa jinsi alivojutia hatorudia vyoteHatorudia tena kusahau au hatorudia tena kuingia na simu.
Boraa angechana afu angempa mpyaa.,Wasomi wa vyuo vikuu bana... issue kama hizo huwa tuna imaliza huko huko chumba cha mtihani.. sema siku hizi madent sio hamble na mateacher nao manokoo kishenzi.. enzi zetu unakutwa na simu au kitini na yanaisha au teacher akiwa mnoko anachana booklete anakupa mupyaaa
Mnyama simjui mkuuWanafunzi wa MUST tupo apa tunawaangalia tu kashikwa na mnyama nn
wewe ni lecturer au msimamizi wa maktaba mkuuπSema tu ni wewe Ili usaidiwe..
anyway, Mimi ni lecturer hapo MUST na Ndie niliekukamata na simu.. umeona uje huku jeiefu ukidhani sipo? Hili suala nakuhakikishia ntalivalia njuga hadi ufukuzwe chuo
Hujui reaction gani ilitokea alipo dakwa.. wengine wanakuwa watata badala ya kujifanya fala lipite.Boraa angechana afu angempa mpyaa.,
Utarogwa wewe, acha zakoSema tu ni wewe Ili usaidiwe..
anyway, Mimi ni lecturer hapo MUST na Ndie niliekukamata na simu.. umeona uje huku jeiefu ukidhani sipo? Hili suala nakuhakikishia ntalivalia njuga hadi ufukuzwe chuo
Mambo ya kizamani kuzuia ma simu vyumba vya mtihani. Simu ukiingia inatakiwa iwe silence au zima.. walimu wa copy and paste wanaa sana, kuna paper unapewa hata upewe laptop kama huna akili hutoboiInajulikana wazi haitakiwi kuingia na simu kwenye chumba cha mtihani. Alaumiwe mwenyewe kwa uzembe wake.
Hawajui tu simu Kama huna Akili hautoboi Mimi necta zangu zote 4M4 na 4M6 nimeingia na simu nilikuwa naizima natia katika pensi pembeni ya pumbuMambo ya kizamani kuzuia ma simu vyumba vya mtihani. Simu ukiingia inatakiwa iwe silence au zima.. walimu wa copy and paste wanaa sana, kuna paper unapewa hata upewe laptop kama huna akili hutoboi
Kila nikiwaza mambo ya nondo, nakosa nguvu,Hujui reaction gani ilitokea alipo dakwa.. wengine wanakuwa watata badala ya kujifanya fala lipite.
Mie nakumbuka hatukuwa tunazuiwa kuingia na simu, kikubwa iwe silence au zima. Walimu wetu walikuwa wazazi na marafiki zetuHawajui tu simu Kama huna Akili hautoboi Mimi necta zangu zote 4M4 na 4M6 nimeingia na simu nilikuwa naizima natia katika pensi pembeni ya pumbu
Watu tulikuwa tunaiba booklete inajazwa kila kitu, unaingia nayo, ile unayoepewa unaipiga chini unaanza tumia uliyo ingia nayoo... then unaomba booklet ingine unapanga sasa majibu vizuri π π π π shule raha sanaaaKila nikiwaza mambo ya nondo, nakosa nguvu,
Ilikua accidentally 4m 4 Necta, pepa la bios
Sasa watu wa nyuma yangu walikua wanapeana vimemo vya majibu, sasa wa nyuma ktk kurusha karatasi ikampita ikaja kutua chini ya kiti changu,
Wasiseme, msimamizi kupita akaona kuokotaa hivi kukuta baadhi ya majibu, pale pale akanisimamisha, kunihoji mie hata sielewi, mara akasema nakutoa nje, nlilia na kuomba msamaha, nashukuru alinielewa,
Sitaki kukumbukaaa, uwiiiiih, hapo ubinadamu utumike tyuuh.