huu ni utataaaaaa a a a a a a a!

huu ni utataaaaaa a a a a a a a!

Anthony Threedeyea

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
471
Reaction score
47
wadau kuna m'babez wa ukweli nimemtemea madini huku na kule mara akaniuliza kwanini umenipenda mimi sio mtu mwingine. . .daah nimezinda unajua imagine kama ungekua wewe ungejibu nini?

NB:Majibu fasta asee ilinimjibu nipo nae online
 
Mwambie kwasababu anafanana na sanamu la kufukuzia ndege kwenye shamba la mpunga.Just kidding
 
Kheee me sijaelewa topic au elimu ndogo
 
Dah kweli hatari kama ndo tunakoelekea wanawake ndo watakuwa wanatutongoza,sasa ww hujui hata kumtofautisha na wanawake wengine sasa ulikuwa unamtongoza wa nin?
 
Jumatatu wanarudi shule na simu wanazirudisha, wavumilieni tu wikendi hii!
 
Dah kweli hatari kama ndo tunakoelekea wanawake ndo watakuwa wanatutongoza,sasa ww hujui hata kumtofautisha na wanawake wengine sasa ulikuwa unamtongoza wa nin?
 
dogo mengine muachie baaba na maama.....
 
Duh sasa huu si ustaarabu unataka ujibiwe nini au unaamin kuanzisha mada ni lazima
 
Back
Top Bottom