huu ni utataaaaaa a a a a a a a!

huu ni utataaaaaa a a a a a a a!

Mwambie kwasababu anafanana na sanamu la kufukuzia ndege kwenye shamba la mpunga.Just kidding

aiseeeeeeeee
156716.jpg
 
Mwambie washkaji ka wa 5 hivi wamemsifu 0713 yake ni ndogo ndio maana umempenda.
 
ndio huyu huyu mkuu, nashangaa hata raia wanavyohangaika kumshauri kiazi kama huyu mwenye kupotezea watu muda...

wana muda kama huo. Kuna mwingine yule anaitwa gogle,mada zake ni kuhusu ngono tu. Na watu wanamjibu!
 
wadau kuna m'babez wa ukweli nimemtemea madini huku na kule mara akaniuliza kwanini umenipenda mimi sio mtu mwingine. . .daah nimezinda unajua imagine kama ungekua wewe ungejibu nini?

NB:Majibu fasta asee ilinimjibu nipo nae online

Mwambie hata wanaJF hawajui...
 
Back
Top Bottom