Huu ni ushenzi uliopitiliza


hahahaa sawa kaka shida si kula ndugu wawili, shida ni kula ndugu wawili wa jinsia tofauti
 
sred za leo, bora nihamie kwenye novel.
 
Kama waathirika huyo dada na mdogo wake wangeonyesha hali ya kutoridhika ufirauni huo basi tungewashauri waende katika vyombo vya sharia.
 

Mkuu unataka watu wafanyeje?au huyo jamaa yuko hum unataka kumfikishia ujumbe?na kama yuko hum kwa nn usimtaje?mada zingine bwana!

Ushauri. Kama ni kweli,kwa kumsaidia mwambie dada mtu ajue.
 
sasa umeleta huku ili iweje? si kawaida tu, mimi nafikiri ungeenda kumwambia huyo jamaa mwenyewe au ndugu zake kuliko kumwanika huku.
 
Nahisi huwa hulali unawaza kesho upost nini!:sad:
 
sasa umeleta huku ili iweje? Si kawaida tu, mimi nafikiri ungeenda kumwambia huyo jamaa mwenyewe au ndugu zake kuliko kumwanika huku.

nimeleta huku ili upate cha kusoma na kuchangia kama hivi
 
mshana jr hivi visa vyako unavitoaga dunia gani au vya kufikirika?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…