Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,619
- 46,258
Katika matukio mbalimbali imezoeleka kusikia viongozi au watu maarafu wakitambulishwa kwa kuanza na viwango vyao elimu kabla ya majina yao (wakati mwingine hata kama ni digrii za heshima tu!).
Utasikia Professor au Dokta fulani katika shughuli za kijamii, harusi na hata mazishi!
Ningependa kufahamu utambulishaji wa aina hiyo ni kuzingatia itifaki au ni ushamba?
Nauliza kwa sababu huwa sioni utambulishaji wa aina hiyo katika mataifa yaliyoendelea na ambayo Idadi kubwa ya viongozi wake huwa ni maprofessa na madokta wabobevu katika nyanja zao.
Utasikia Professor au Dokta fulani katika shughuli za kijamii, harusi na hata mazishi!
Ningependa kufahamu utambulishaji wa aina hiyo ni kuzingatia itifaki au ni ushamba?
Nauliza kwa sababu huwa sioni utambulishaji wa aina hiyo katika mataifa yaliyoendelea na ambayo Idadi kubwa ya viongozi wake huwa ni maprofessa na madokta wabobevu katika nyanja zao.