Huu ni ulimbukeni wa kupindukia

Sijali

JF-Expert Member
Sep 30, 2010
2,589
1,679
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics. Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!
 
Hata waliosoma vizuri wanajinasibu na jamii ya funza wa jalalani! waache watu wajinome bila haki
 
Kwa kweli inakera sana. Unajiita Dr wakati kichwani in mweupe. Umeshindwa kutatua changamoto za umeme, maji, miradi uliyokuwa yakumalizia iliyoanzishwa na mtangulizi wake umeshindwa, mfumuko wa bei n.k. Huo U Dr upo wapi sasa? Kujiita Dr wakati hamna kitu ni kuushusha hadhi usomi
 
Vilaza walio pata division Omary na kukimbia shule wakiingia kwenye siasa huanza kutafuta elimu za kuunga unga ili waonekane wasomi kumbe kichwani zero

Wakina Nyerere,Mandela,Nkurumah nk walikuwa na uwezo wa kusimama na kutema nondo za ajabu mpaka una stahajabu uwezo wao wa kupanga hoja na mantiki hawa licha ya kuandikiwa kila kitu lakini bado wanaongea ugoro tu na takataka alafu ndo wapenda heshima za kuitwa Dr

"Chui hakumbatiwi "
 
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria.......na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics.... Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!
Uko sahihi
 
Ni laana ya kuamini Ushirikina zaidi ya kufanya kazi na kuongeza ajira

Asilimia kubwa ni wachawi badala ya kuwa na maendeleo
Kweli hili neno la Dr ningelipiga marufuku kabisa na atakaejiita Dr lazima afanye kitu kitakachoonyesha udokta wake

Majitu yanakariri toka primary ila ukimwambia ametuongezea nini katika cheo chake hajui
 
Hii ni vita tu kama vita nyingine.
Huwezi kuwashinda wapumbavu walio na vyeti hadi PhD.
Mpumbavu akisoma,huwa mpumbavu zaidi.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuwa na akili na kusoma.Hapa Dr Ellie ataelewa ninachosema.
Unaweza kusoma na bado usiwe na akili.
Tunaishi kipindi ambacho wenye akili ni wachache sana.Ila sio rahisi kujua hili kwa sababu hatuna akili

JamiiForums mobile app
 
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria.......na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics.... Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!

Siyo kweli kwamba nchi zote duniani wasomi hawatumii wasifu wa kitaaluma. Uingereza, marekani, Australia, ufaransa, nk wanatumia huo wasifu. Wajerumani ndiyo shida, maana wanatumia mtu akiwa prof. mwenye phd, halafu na ni md, ataanza kujitambulisha na prof, dr. dr fulan fulani. Siyo vibaya wenye phd au professor kujitambulisha kitaaluma.
 
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria.......na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics.... Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!
Magu alideserve kuitwa doctor
 
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni wa taaluma) waliyo nayo hao wanaojiita hivyo, au wanaokubali kuitwa.

Maana ndani ya nyoyo zao wanaamini kuwa wao ni mapepe tu kielimu, na ili kuwa aminisha wengine kuwa wao pia ni wana 'taaluma' katika hilo wanalolifanya, basi huweka/huwekewa hicho kibwagizo.

Tuliishi na Kambarage hapa miaka nenda miaka rudi, kwa kweli wachache sana walijua alikuwa Dokta, tena wa kusoma, si wa 'kutuzwa'. Kila mtu alijua Kambarage ni msomi pale tu alipofungua mdomo kuzungumza, hakuhitajia kibwagizo cha "Daktari'. Hivyo ndivyo usomi unavyotakiwa.

Kwa kweli viongozi wengi duniani ni 'Madokta', ila hadi ufanye utafiti ndiyo utajua hivyo.
Xi Jinping wa China ni Dokta wa Sheria, Narendra Modi wa India ni Dokta wa Elimu, Angela Merkel aliyekuwa Chancellor wa Ujerumani ni Daktari wa Physics, halkadhalika Hassan Rohani wa Iran alikuwa Dokta wa Sheria.

Ukija Afrika: Rais Ameena Gurib wa Mauritius ni Dokta wa Organic Chemistry, Mulatu Teshone wa Ethiopia: Sheria, Alassane Watara wa Cote d'Ivoire: Uchumi, Peter Mutharika, Malawi: Sheria, Mfalme Hassan, Morocco: Sheria.......na hata jrani Wlliam Ruto wa Kenya, tena Udokta wake wa aina yake, Plants Ecology (Wajua hiyo?) lakni kamwe hajiwekei au kuwekewa.

Sasa ingia Tanzania! Ndiyo nikasema hii yaonesha 'Educational inferiority Complex' kwa wataalamu wa maradhi ya nafsi watakwambia!

Ni aibu kujiita Dokta katika nchi ambayo hatutengenezi hata shazia, umeme unakatika kutwa, tukitaka barabara twamwita uncle wetu Mchina! Wakati huo huo eti tuna Vyuo Vikuu vinavyototoa madaktari hata wa Nanotechnology, Biotechnology, Physics.... Ifike mahala tuone haya kuchekwa na walimwengu!

Tuacheni ushamba huu tukidhani kuwa ni 'ujanja' mwingine kutoka Tanzania. La, ni ujinga!
Nchi imejaaa washamba na pia Exposure ni shida sana Tanzania, pia swala la kujipendekeza
 
Back
Top Bottom