fukunyungu
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 717
- 194
wakuu, napenda kufaham kwa mwenye details za kutosha kuhusu kinachoendelea afrika ya Kati, nashangaa na sijawahi kuona wala kusikia wakristo wanakua wanyama kiasi hiki , ni ukristo gani unao waelekeza kufanya mauaji? by the way hawatakiwi kuitwa wakristo bali ni majini