google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
Alafu akili ikipelekeshwa hivyo hata ukimpata mwenye chura unaishia kukojoa muda mfupi tu unakuwa huna lolote kutwaaa kunywa vitu vya ajabuCHURA ndio tatizo kuu la maisha yangu, hunitoa kabisa kwenye mipango yangu yakimaisha. naweza kuvumilia chochote lakini si mwanamke mwenye chura. Akili yote huvurugika nikaishia kufanya mambo ya ajabu muda mwengine
VYURA vilashanifukuzisha kazi mara 3
VYURA vilishanisababishia kufilisika mtaji wa biashara
VYURA vilishaharibu Serious relationships zangu 3
VYURA vilishagombanisha na rafiki zangu wa 3
VYURA viliyayusha hela yangu yote nilioichuma kwa kupindwa na waarabu kwa miaka mitatu
Na mwisho hivi juzi nimefanya tukio la kifala kabisa sababu kuu ni chura
Hawa wanawake wasingekuwa na hivi vyura dunia ingelikuwa sehemu salama sana kwangu. Pia pengine ningekuwa nakaribia hata kuitwa milionea na mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app