KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,143
- 1,885
Habari wana JF mwanangu yamemtoka mapele ya ajabu,
Wife amempeleka hospital Jmosi na anatumia dawa Ila bado vinamtoka
Naombeni msaada wenu Kwa anaeujua huu ugonjwa vizuri.
Wengine wanasema ni Tetekuwanga Ila navoujua huu ugonjwa unatoka mwili mzima Ila yeye umemtoka kifuani, mgongoni na shingoni Tu .
Nimeplan ikibidi kesho twende tena hospital.
Karibu Kwa ushauri.
Wife amempeleka hospital Jmosi na anatumia dawa Ila bado vinamtoka
Naombeni msaada wenu Kwa anaeujua huu ugonjwa vizuri.
Wengine wanasema ni Tetekuwanga Ila navoujua huu ugonjwa unatoka mwili mzima Ila yeye umemtoka kifuani, mgongoni na shingoni Tu .
Nimeplan ikibidi kesho twende tena hospital.
Karibu Kwa ushauri.