Naombeni msaada wa mawazo Nina matatizo ya mgongo ambayo Mimi mwenyewe sielewi kama ni matatizo Kweli! ya mgongo au ya moyo au ya mawazo.
Nafanya leo ninaweza kusikia matatizo ya moyo yaani kuhisi kifuani kwangu Kuna kitu Na Kweli ila nikipotezea Na hisi kupona Tena Na kesho nikiamuka Tena Nahisi mgongoni kama kuna maumivu makali saana nikipotezea maumivu yale yanapotea au kuamia sehemu nyingine kama yalikuwa kwenye bega la kushoto linaamia kwenye bega la kiume nikilala na kuamuka nahisi mabegani kwangu Kuna tatizo yaani siwezi kunyanyua vizuri mkono nikifanya mazoezi Nahisi kupona.
Yaani nimekuwa nikiteseka Ivo Sasa sijui hivi huu ni ugonjwa au ni mawazo tu
Nafanya leo ninaweza kusikia matatizo ya moyo yaani kuhisi kifuani kwangu Kuna kitu Na Kweli ila nikipotezea Na hisi kupona Tena Na kesho nikiamuka Tena Nahisi mgongoni kama kuna maumivu makali saana nikipotezea maumivu yale yanapotea au kuamia sehemu nyingine kama yalikuwa kwenye bega la kushoto linaamia kwenye bega la kiume nikilala na kuamuka nahisi mabegani kwangu Kuna tatizo yaani siwezi kunyanyua vizuri mkono nikifanya mazoezi Nahisi kupona.
Yaani nimekuwa nikiteseka Ivo Sasa sijui hivi huu ni ugonjwa au ni mawazo tu