Hii ni dalili kama tetekuwanga nimewahi kuungua huo ugonjwa nikiwa mtotoHabari wana JF mwanangu yamemtoka mapele ya ajabu,
Wife amempeleka hospital Jmosi na anatumia dawa Ila bado vinamtoka
Naombeni msaada wenu Kwa anaeujua huu ugonjwa vizuri.
Wengine wanasema ni Tetekuwanga Ila navoujua huu ugonjwa unatoka mwili mzima Ila yeye umemtoka kifuani, mgongoni na shingoni Tu .
Nimeplan ikibidi kesho twende tena hospital.
Karibu Kwa ushauri.
View attachment 2143429View attachment 2143430
Aisee poleni sana mkuu, vipi mlipata majibu mapya tena hospital?
Kwa muonekano wa awali ni kama tetekuwanga na kama unasema alikuwa anakohoa je na jasho linamtoka kwa wingi sana hasa usiku?
Kama umepata matibabu au tatizo limejulikana utupe mirejesho na kama bado pia useme upo wapi ili walau upate ata ushauri uende hospital gani ili akafanyiwe uchunguzi zaidi.
Jambo zuri na la kushukuruNashukuru amepona yupo poa sasaView attachment 2161526