Huu ni ugonjwa gani?

Huu ni ugonjwa gani?

Pole sana mkuu

Hope mtoto atapata tiba sahihi na kupona
 
Habari wana JF mwanangu yamemtoka mapele ya ajabu,
Wife amempeleka hospital Jmosi na anatumia dawa Ila bado vinamtoka

Naombeni msaada wenu Kwa anaeujua huu ugonjwa vizuri.

Wengine wanasema ni Tetekuwanga Ila navoujua huu ugonjwa unatoka mwili mzima Ila yeye umemtoka kifuani, mgongoni na shingoni Tu .

Nimeplan ikibidi kesho twende tena hospital.

Karibu Kwa ushauri.


View attachment 2143429View attachment 2143430
Hii ni dalili kama tetekuwanga nimewahi kuungua huo ugonjwa nikiwa mtoto
 
Je ana umri gani??.......kama ni Chini ya miezi 9 Acha kumpa samaki WA maji chumvi.......huwa wanapata hiyo allergy.........Ila Kwanza muone daktari Acha ramli chonganishi hapa jukwaani
 
Aisee poleni sana mkuu, vipi mlipata majibu mapya tena hospital?

Kwa muonekano wa awali ni kama tetekuwanga na kama unasema alikuwa anakohoa je na jasho linamtoka kwa wingi sana hasa usiku?

Kama umepata matibabu au tatizo limejulikana utupe mirejesho na kama bado pia useme upo wapi ili walau upate ata ushauri uende hospital gani ili akafanyiwe uchunguzi zaidi.
 
Nashukuru amepona yupo poa sasa
Aisee poleni sana mkuu, vipi mlipata majibu mapya tena hospital?

Kwa muonekano wa awali ni kama tetekuwanga na kama unasema alikuwa anakohoa je na jasho linamtoka kwa wingi sana hasa usiku?

Kama umepata matibabu au tatizo limejulikana utupe mirejesho na kama bado pia useme upo wapi ili walau upate ata ushauri uende hospital gani ili akafanyiwe uchunguzi zaidi.
IMG_20220323_105743.jpeg
 
Tuambie umetumika tiba gani na ilikuwa ni ugonjwa gani ili tutumie Uzi huu kama stick ya changamoto kama hii
 
Back
Top Bottom