Naomba msaada wa ugonjwa huu wa ngozi

KingGuaje

Senior Member
Dec 30, 2019
129
224
Habari za jumamosi ndugu zangu.

Nimekuja hapa kuomba msaada wa ugonjwa huu wa ngozi.

Uncle wangu ana hivi vipele mda sasa ila hakuwahi kusema miez miwili iliyopita alinionyesha..vipo kifuani haviumi wala haviwashi..viko kwa ndani na ni vigumu vigumu ukivishika.

Nilimpeleka Hospital wakampa dawa ya kunywa ila bado..pia walimpima damu (naambatanisha results zake)
Kwa wenye kujua dawa au mwenye wazo naomba msaada tafadhali .

2780EED0-9066-4A60-8578-ACF07CF941DC.jpeg
A5CDE42A-3F8D-4665-80B8-AE6B7428BA15.jpeg
 
Habari za jumamosi ndugu zangu.

Nimekuja hapa kuomba msaada wa ugonjwa huu wa ngozi.

Uncle wangu ana hivi vipele mda sasa ila hakuwahi kusema miez miwili iliyopita alinionyesha..vipo kifuani haviumi wala haviwashi..viko kwa ndani na ni vigumu vigumu ukivishika.

Nilimpeleka Hospital wakampa dawa ya kunywa ila bado..pia walimpima damu (naambatanisha results zake)
Kwa wenye kujua dawa au mwenye wazo naomba msaada tafadhali .

View attachment 2359758View attachment 2359759
KuNa kitu kinaitwa MKANDA WA JESHI ( HERPES ZOSTER) una sababishwa na virus Huu ugonjwa anapta mtu ambaye kinga yake ya mwili imeshuka sana sana . Mtu wa TB Na HIV

Ni kuulize HIV alipima? Maan kweny stage ya 3 au 4 mtu anapata upele kama huo unaotokea uoande mmoja wa mwili na ukiwa kwenye mstari

Dawa ACyclovir tabs na cotrimazole creaam
Jibu kwanza twende sawa
 
Habari za jumamosi ndugu zangu.

Nimekuja hapa kuomba msaada wa ugonjwa huu wa ngozi.

Uncle wangu ana hivi vipele mda sasa ila hakuwahi kusema miez miwili iliyopita alinionyesha..vipo kifuani haviumi wala haviwashi..viko kwa ndani na ni vigumu vigumu ukivishika.

Nilimpeleka Hospital wakampa dawa ya kunywa ila bado..pia walimpima damu (naambatanisha results zake)
Kwa wenye kujua dawa au mwenye wazo naomba msaada tafadhali .

View attachment 2359758View attachment 2359759
Mkuu pole sana. Nmekutumia hizi picha ziangalie na uniambie kama vinafanana na hivi. Najua huwa havina muwasho wala maumivu na vina ugumu ukivigusa. Pia unijibu kama alifanya vipimo vya Serological (enzyme-linked immunoelectrotransfer blot or EITB, na commercial enzyme-linked immunoassays). Na je ni mtumiaji mzuri wa kiti moto? Ukinijibu tutaendelea.
 
Habari za jumamosi ndugu zangu.

Nimekuja hapa kuomba msaada wa ugonjwa huu wa ngozi.

Uncle wangu ana hivi vipele mda sasa ila hakuwahi kusema miez miwili iliyopita alinionyesha..vipo kifuani haviumi wala haviwashi..viko kwa ndani na ni vigumu vigumu ukivishika.

Nilimpeleka Hospital wakampa dawa ya kunywa ila bado..pia walimpima damu (naambatanisha results zake)
Kwa wenye kujua dawa au mwenye wazo naomba msaada tafadhali .

View attachment 2359758View attachment 2359759
Nilisahau kuattach picha
1663438517507.png
1663438595395.png
 
Mkuu pole sana. Nmekutumia hizi picha ziangalie na uniambie kama vinafanana na hivi. Najua huwa havina muwasho wala maumivu na vina ugumu ukivigusa. Pia unijibu kama alifanya vipimo vya Serological (enzyme-linked immunoelectrotransfer blot or EITB, na commercial enzyme-linked immunoassays). Na je ni mtumiaji mzuri wa kiti moto? Ukinijibu tutaendelea.
Shukran Mkuu..ndo hivi hivi…..kuhusu kutumia kitimoto sidhani ni muumini mzuri …vipimo alivofanya ni Full blood picture (CBC) tu…..Nasubiri muendelezo wako.Shukran
 
KuNa kitu kinaitwa MKANDA WA JESHI ( HERPES ZOSTER) una sababishwa na virus Huu ugonjwa anapta mtu ambaye kinga yake ya mwili imeshuka sana sana . Mtu wa TB Na HIV

Ni kuulize HIV alipima? Maan kweny stage ya 3 au 4 mtu anapata upele kama huo unaotokea uoande mmoja wa mwili na ukiwa kwenye mstari

Dawa ACyclovir tabs na cotrimazole creaam
Jibu kwanza twende sawa
Vipimo vya HIV na TB ni neg pia anasema vimeanza mda haviongezeki sana viko kifuani na usoni viwili…kingine viko kwa ndani na akivisumbua sana kama vile anataka kuvitumbua ..vinatengeneza usaa ..akiviacha vinakaa hivo hivo
 
Vibwana mdogo vya siku hizi vina ujuaji mwingi sana. Unakuta hako kabwana mdogo kanaruka na jimama umri wa mama yake, kanamwendea chumvini kamalamba hadi tigo.

Vijikwaa maradhi ndio vinarejea mikono nyuma vimeufyata vinakuja kutafuta huruma na msaada wa wajomba. Vibwana mdogo vina matukio mazito sana hivi


Sasa unaweza kita kata kalikuwa kanapitisha dekio kwa mwanamke hadi kunakuwa kusafi na mate kanameza halafu kana deki na eneo la tigo na mate kanameza. Sasa maradhi yamekapata kanauchuna mjomba ndio unahangaika kujua shida ni nini maana vipimo hata havitoi majibu.

Hebu kabane kwa maswali mseto hadi ukashitukie kalipwaya wapi.
 
Vibwana mdogo vya siku hizi vina ujuaji mwingi sana. Unakuta hako kabwana mdogo kanaruka na jimama umri wa mama yake, kanamwendea chumvini kamalamba hadi tigo.

Vijikwaa maradhi ndio vinarejea mikono nyuma vimeufyata vinakuja kutafuta huruma na msaada wa wajomba. Vibwana mdogo vina matukio mazito sana hivi


Sasa unaweza kita kata kalikuwa kanapitisha dekio kwa mwanamke hadi kunakuwa kusafi na mate kanameza halafu kana deki na eneo la tigo na mate kanameza. Sasa maradhi yamekapata kanauchuna mjomba ndio unahangaika kujua shida ni nini maana vipimo hata havitoi majibu.

Hebu kabane kwa maswali mseto hadi ukashitukie kalipwaya wapi.
Vibwana mdogo vya siku hizi vina ujuaji mwingi sana. Unakuta hako kabwana mdogo kanaruka na jimama umri wa mama yake, kanamwendea chumvini kamalamba hadi tigo.

Vijikwaa maradhi ndio vinarejea mikono nyuma vimeufyata vinakuja kutafuta huruma na msaada wa wajomba. Vibwana mdogo vina matukio mazito sana hivi


Sasa unaweza kita kata kalikuwa kanapitisha dekio kwa mwanamke hadi kunakuwa kusafi na mate kanameza halafu kana deki na eneo la tigo na mate kanameza. Sasa maradhi yamekapata kanauchuna mjomba ndio unahangaika kujua shida ni nini maana vipimo hata havitoi majibu.

Hebu kabane kwa maswali mseto hadi ukashitukie kalipwaya wapi.
Ni kweli mademu anao ila hajawah kwenda chumvin anasema…..amepima STDs zote yuko poa …Thanks Mkuu nitaendelea kumbana kwa maswali!
 
Atumie dawa inaitwa acyclovil tablets na clotrimazole kwa wiki mbili hvi kwa ajili ya MKANDA WA JESHI ( HERPES ZOSTER) KWANI UGONJWA HUUUNASABABSHWA NA VIRUS HASA KINGA YA MWILI INAPOSHUKA. NA HAUNA KIPIMO
tmp-cam-5273593069468696886.jpg
 
Back
Top Bottom