Kwa mujibu wa vyombo vya habari, wakati Rais Kikwete alipoanguka kwenye uzinduzi wa kampeni pale Jangwani, Mchungaji Rwakatare alifanya maombi na wafuasi wake. Kufanya maombi ni sawa lakini hili la kuhusanisha kuanguka na mapepo ya maadui ni maagizo ya dini au ni kuendekeza ushirikina?