spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 6,030
- 15,587
Nikaokoke sasa
Ni sahihi, hakuna Mkristo wala Ukristo unaofanya hivyo. Huyo hatujui ni nani labda ni muislam😆😁😏😉Hakuna udhalilishaji wowote kwa dini ya kikristu. Geor davie sio mwakilishi wa wakristu.
Sio muislam. Ni mjasiriamali mmojaNi sahihi, hakuna Mkristo wala Ukristo unaofanya hivyo. Huyo hatujui ni nani labda ni muislam😆😁😏😉
Kwa Wakristo mtu akiwa public speaker na vimaandiko viwili vitatu Tayari Wana muita ni mtumishi wa Mungu . Sasa hivi walio wengi ni Wajanja wanaingia mikataba na Shetani anafungua kanisa anapiga mkwanja, Mmoja wapo ni Huyo Geordev Yaani hilo lijamaa ni booonge la Devil ..,wajinga Ndo waliwaoVideo ya wadada wakiwa wanapita mbele yaa nabii mkuu na mawazi yasio ya heshima na yasiyostahili kwenye madhabahu ya Mungu.
Kuna haja ya kufungia baadhi ya huduma na kuweka vigezo vikali kwa wanaoongoza huduma hizo.
Shetani yupo duniani.
View attachment 2685176
Ndio uamini hakuna nabii hapo. Mwenzio anafanya assessment ili ajichagulie demu wa kujilia tu!! Unaruhusuje mambo kama hayo kama unamtumikia Mungu wa Kweli. Halafu GeoDave mwenyewe yupo pembeni, anawaangalia warembo wanavyopita wakijinyonganyonga halafu anatabasamu! Jamaa womanizer tu!!Video ya wadada wakiwa wanapita mbele yaa nabii mkuu na mawazi yasio ya heshima na yasiyostahili kwenye madhabahu ya Mungu.
Kuna haja ya kufungia baadhi ya huduma na kuweka vigezo vikali kwa wanaoongoza huduma hizo.
Shetani yupo duniani.
View attachment 2685176
Mashindano ya urembo na umiss kanisani? You can't be serious!!!Kama ni mashindano sidhani kama kuna tatizo
Mbona kawaida sana.Video ya wadada wakiwa wanapita mbele yaa nabii mkuu na mawazi yasio ya heshima na yasiyostahili kwenye madhabahu ya Mungu.
Kuna haja ya kufungia baadhi ya huduma na kuweka vigezo vikali kwa wanaoongoza huduma hizo.
Shetani yupo duniani.
View attachment 2685176
Yote hayo yalitabiriwa.Fake pastors wameudhalilisha Sana ukristo,anzia kina kibwetere,mchungaji wa Zimbabwe aliyejitupa kwenye mto wa namba,mchungaji wa Kenya aliyeuwa waumini wake,akina zumaridi! Na wengine wengi kwakweli dhana ya ukristo imechafuka saaaaaaana,Kama utakuwa mfuatiliaji ndugu yangu Kuna mijadala katika nch nyingi duniani kupiga Vita ukristo na matumizi ya biblia hii yote ni kutokana na kwamba yanayohubiriwa humo siyo Mambo ya mungu Bali ni uhuni ,ujinga,na kila Aina ya uchafu, vimevalishwa koti la ukristo,ninani ataunusuru ukristo,? Wakristo tumekengeuka,fuatilia Israel Sasa Sheria imeenda bungeni kupinga matumizi ya jina yesu,Kenya nao pia wameanza minong'ono ya kuuzuia ukristo,China ndo kabisaa,Nigeria wao wanaua wakristo wanaoeneza ukristo,hapa Tanzania vugu vugu limeanza kudhibiti kelele zinazozalishwa na makanisa usiku kucha,ukristo na wakristo twasujudia mungu yupi? Walioibeba dhamana ya ukristo waanze kuliona hili mapema,tatizo ni wakristo fake wanaangamiza ukristo,angalia Sasa makundi yasiyo amini mungu yanazidi kukua kwa Kasi sababu walioko kwenye ukristo ndo wanafanya uovu na waovu namba moja
Mbona enzi za Pilato juzi tu? Enzi za Nuhu huko gharika inaanza Malaya kibao wako bize wanakatikia watu viuno.. kuja kushtuka mlango wa Safina umefungwa.. kumgongea Nuhu anajibu hajafunga mlango yeye. Gharika ilikula vichwa vya malaya wengi sana.Hapo kosa ni nini?
Hujawahi kwenda hapo ukakuta waimbaji wa kwaya wanavyokata viuno kama feni.. Pepe kale akasome.
Hata Yesu huko mbinguni anashangaa kwa sababu ajawahi shuhudia hizo show hata enzi zile pilato.