unapotoa kichekesho alafu wa2 hawacheki!!
kitu 'kikinyanyuka' afu unakaribia kushuka kwenye daladala.
huu kweli uchuroUnapokataa kuokota sh10 kwa sh1000 ya ahadi.
Hahahahaaa kijana huo ni uchuro kweliUnapoingia jf kama guest wakati ni free kuwa member,hii ni sawa na kupiga chabo disco wakati kuingia ukumbini ni bure
kitu 'kikinyanyuka' afu unakaribia kushuka kwenye daladala.
Unapozuga kuongea simu mbele za watu, ghafla ikaanza kuita kwa sauti.
Teh huo ni ukilaza kabis lolUnapomwambia konda shusha kibaoni wakati umekaa mbele na dereva.
Unapoziba pua na kukunja sura wakati umejamba mwenyewe!