Huu ni uchawi kwenye mapenzi

Huu ni uchawi kwenye mapenzi

Mambo ya Tabora hayo.
Kuna ile moja wanafanya wanawake wa kiswahili ambapo, mkienda kulala baada ya mechi, mwanaume akilala fofofo mwanamke anachukua chupi yake chafu na kumuwekea mwanaume usoni ile point ya k iwe puani kabisa ili usiku mzima unavuta harufu ya k na mkundu. Uncle ukiwekewa hiyo hutoboi.
Kuna hii nyingine ya mama ntilie. Kama umezoea sana kula kwake na anakutaka, atapika chapati ya kwanza kisha anavua chupi na kuikalia ile chapati, hapo ni asubuhi hajanawa wala hajachamba. Atapika chapati nyingine wakati ya mlengwa imekaliwa. Also, akifanikiwa kukupa hiyo chapati ukaila ujue umeshamsahau mkeo.
Kuna hii ya kutumbukiza nyama ukeni kisha unakaangiwa na vitunguu vingi hata wanyakyusa hii wanaifahamu. Ukiona mwanamke wa kinyakyusa anakuomba unywe mchuzi wa nyama na wewe ukaunywa jua hurudi kwenu, utafia Mbeya hususan wilaya ya Kyela.
Nawatania wabyakyusa
 
Kama kweli uchawi upo nadhani nisharogwa sana. Bahati mbaya kwao uchawi kwangu unadunda.
 
Back
Top Bottom