Black nyeti
JF-Expert Member
- Jun 30, 2025
- 674
- 1,089
Munavyoongea kama mumefanyiwa nyie ...... Wakati alie fanyiwa hivyo yupo zake huku kunyamaza tu usikute anajionea kawaida tuNdio maana sipendi Vitunguu hata akisuka
Munavyoongea kama mumefanyiwa nyie ...... Wakati alie fanyiwa hivyo yupo zake huku kunyamaza tu usikute anajionea kawaida tuNdio maana sipendi Vitunguu hata akisuka
Babu😂🙌Kuna mmoja nilimshuhudia ananichujia chai kwa uvungu wa chup, nilicho kifanya ile chai nilikunywa kisha nikamnawa.
Naskia alienda kwa mganga wake kudai hela yake.bladi hell...🤣
Sipendi vitunguuMunavyoongea kama mumefanyiwa nyie ...... Wakati alie fanyiwa hivyo yupo zake huku kunyamaza tu usikute anajionea kawaida tu
VitunguuAcha mrogwe tu.
Sipendi vitunguuApo mwamba kasharogwa taar
Mkuu kwa hii comment usipofuatwa Pmendelea
Apo mdada ameandika jina ya mshikaji kwa kalamu nyekundu majina yote matatu
Kisha kageuza nyuma kaandika hayo maneno na hicho kitunguu kina wakilisha moyo wa huyu jamaa
Hicho kikaratasi kina wekwa katikati ya hicho kitunguu maji afu anaanza kutamka maneno hayo mara saba wkt huo anakuwa anakitoboa kitunguu hicho hadi sindano itokeze upande wa pili😁
Unakuta anakapenda kadada sana kumbe kashakufanyiaga umafia aseee
Hawa wanawake hawa aseoee
View attachment 3423789
Hapo kashaliwa na sangomaa,yeye na pesa juuu 😀 😀