Nafurahi umekuwa wa kwanza kupiga mayowe ilihali uliipigania! Utajiju! Ccm Ina wenyewe acha kubwata!Habari hiyo ni Kwa manufaa yako na kizazi chako mkuu
Yaani hao MATAGA ni kama MALAYER.Na bado ndio mitano inaanza January mosi! Mtalia mmoja baada ya mwingine na bado hamtasikika! Mlipowmbiwa ccm ni shida mkajifanya viziwi na Leo unaongea habari ya choo Cha shule!
Endelea kuunga juhudi!
Mkuu! Unalazimisha uwaze kinyume na uwezo wa akili zako!!Nikuulize wewe mtetezi wa ccm uliyedhani utakuwa salama! Narudia kukuambia wewe na wale wote wa aina yako kuwa bado mitano ya kupiga miayo bila kujali ulihusika au la!
Mkuu! Nikichokitolea maoni na Wewe unachojaribu kukitolea maoni ni kama samaki na nchi kavu aisee!! Kulikoni mkuu?Nafurahi umekuwa wa kwanza kupiga mayowe ilihali uliipigania! Utajiju! Ccm Ina wenyewe acha kubwata!
Uliambiwa na wewe ukapuuza na Leo hii ccm inakutesa! Kubalini kubadilisha mboga, siyo kila siku unakula maharage tu!Mkuu! Unalazimisha uwaze kinyume na uwezo wa akili zako!!
Kuwa sisiemu hakuninyimi kutoa mawazo kinzani, unamaanisha mtu akiwa Chadema hapaswi kuhoji mkuu?
Accept changes Mr!Mkuu! Nikichokitolea maoni na Wewe unachojaribu kukitolea maoni ni kama samaki na nchi kavu aisee!! Kulikoni mkuu?