Mambo,
mi ni ke,ukweli wenyewe ni huu KWA MPENZ AU MCHUMBA AU MKE/MUME umpendaye kwa dhati kiharufu fulan cha mwili wake ni kizuri balaa.Hata kama atatoa nguo special zifuliwe hutochoka kuziweka karibu na pua kabla hujazifua.
Daaaa,mapenz haya.
HEBU NJOO PM NIKUAMBIE JAMBOMambo,
mi ni ke,ukweli wenyewe ni huu KWA MPENZ AU MCHUMBA AU MKE/MUME umpendaye kwa dhati kiharufu fulan cha mwili wake ni kizuri balaa.Hata kama atatoa nguo special zifuliwe hutochoka kuziweka karibu na pua kabla hujazifua.
Daaaa,mapenz haya.
Duu kisa unesikia harufu au?HEBU NJOO PM NIKUAMBIE JAMBO
namie napenda harufu kama yeye anavyopendaDuu kisa unesikia harufu au?