Huu ndo udhaifu wa wanawake

Huu ndo udhaifu wa wanawake

Me bnafs kifua kipanapana kiac na masikio makubwa kias then nywele za singa then black colour but ule weus wa wastan so sana..yan hapo hunitoiiiii aiseee
 
Kama huna mia, sahau! Mwanamke akikuomba hela ya vocha, kusuka, kiatu asikose... AKIKOSA kesho unamkuta na kile ulichomnyiam, jua kuna fala mwingine kaingia kingi na mzigo kapewa...... kuwa mwangalifu

Mkuu,mpaka anapewa mzigo huyo siyo Fala tena.!
 
Kwa akili hizi haishangazi kusikia kuwa hata vijiti vya kuchokonolea meno tunaagiza kutoka uchina....
 
Kwa hiyo ukiona wallet imejaa basi pichu inachafuka! Si ndiyo?


Hata mimi nakubali wapo wanawake wametoa unyumba wakiwa katika commitment za familia kwa shs 100K, 200k hadi infinity kutokana na kiasi ambacho yeye anaingiza ama anapewa mwanamke hata awe ana make her own cash if you bet for more she in I tell you world...


Haijaanza leo ndo hulka yao....

Daudi mfalme alimla mke wa askari wake akatokea solomon...
Because of prestige and cheddar......

Solomon mfalme aliwapanga mahawala na wake zaid ya mamia.....
Fame and cash...


Uswahilini hapa leo dsm yeyote ambaye hana mawe ajue kuna watu wanakula anayemuona ana mpenda zaidi shida ni dau tu mwenye ziada na additional mbwembwe lazima ale...


Cha msingi elewa wao wanawake ni lazima wawe instructable..

Ukimpata mmoja haezi kuwa instructable mtupe man...

Wameumbwa hivyo wana catch very later with exceptional in 10:1 ratio....


Be steady man
 
Hata mie kama ningetaka kuwa magnificent baller na superior cone man ningekuwa nafika pahala nakumbuka nikizeeeka nitaishije then na chill coz I have seen old men and all cheza saaana lakini watch old ages fellas!

Ikifika hauna chako

Wanao wakiume ambao haujawasomesha au wame quit shule and or wameenda shule ofcourse wapo busy ku hustle...

Wakike nao wapi busy ilimradi wakamate cheddar..

Msala upo kwako sasa uzeee hauna msaaada...


Man pop that damn it... I hardly wait for those days...

Goodamn it
 
Back
Top Bottom