Ati huu ndo msosi wetu ! Hivi hapa watu watakuwa na afya ya kutosha kweli !
huyo aliyepika huo ugali alikuwa peke yake au amesaidiana na mwenzake? binafsi siwezi.
duh hayo mateso ugali wate huo anapika mtu mmoja, mimi labda nipike kwa awamu tena hapo ntapika awamu tano ........... ntadumu tu mana itabidi nijitahidi ukizingatia mume nimempenda.Asaidiwe na nani, kaugali kenyewe kadogo hivi? Sisy, Unafaa kuolewa pwani, Mza, Shy na Musoma huwezi dumu ndani
Hahahaaaa LiverpoolFC mi nailaani kiukweli aisee na Mungu awafilisi mali zao walizotudhurumu na wanazozidi kutuibia ikiwemo hela zetu za NSSFIlaaniwe ccm!