Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

Status
Not open for further replies.
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

Yeyote anayempigania Rais wa moyoni mwake aende akamtafute huko ilipo hiyo mioyo.
Anayetakiwa ni mgombea u-Rais wa Watanzania, mgombea mwenye uwezo wa kuwashinda CCM na magoli yao ya mikono.
Asiyeliona hilo, ni ama mwanachama safi wa CCM, au mpenzi wa Chama cha Mapinduzi, au mkereketwa wa Lumumba, au kibaraka wa mfumo dhalimu wa CCM.
 
Upuuzi kabisa we ndo unaweka mioyo ya watu juuu na andiko lisilo na nyuma wala mbele. My take :mie ni muumini wa mabadiliko na sitayumbishwa na yeyote ata awe mbowe akiamua kujitoa ktk hii safari mie ntaendelea mpaka dk ya mwisho
But kama Chama kaeni muongee mmalize hii taharuki mturuhusu tuanze kazi tukiwa wamoja....
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.
Unafiki ni kitu kibaya sana
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

mkuu chadema inaendesha kisayansi,kiumakini, na kitaasisi zaidi, aiwezi kukurupuka na kujibu propaganda na hoja dhaifu kama hizo zako.. Ulitakiwa kuhoji cdm mmejipangaje kushinda kwa kishindo izo ndyo hoja zenye mashiko.. Hyo mengine Ni ushuzi Tu WA ccm
 
Dr. Yuko bize na majukum ya chama hana muda wakujibizana na wapuuzi. Taarifa ilishatolewa Radio one juzi sasa kama mnataka kuiona sura yake nendeni ofisini mtamkuta.
 
Sawa kamanda.
 

We tulia uyaone acha kupiga mayowe
 
Ndugu mleta hoja pamoja na kukanusha lakini hujajibu swali wapi alipo Dr. Slaa kwa sasa. Dig down kidogo kwa kueleza hali ilivyo ndani na wewe tuone haupigi propaganda.

Nasikia leo ataenda kupokea fomu ya lowassa tusubiri tuone jamani. Kuweni wavumilivu
 
Hivi mnataka kutuambia kuwa mzee Dr. Slaa hawezi kujitokeza hadharani,na kutangaza rasmi kukihama chama?au kusema amejiuzulu ukatibu mkuu ama kusema kuwa yupo kazini kama kawaida?ili kuondoa hizi zinazo semekana ni propaganda????:crying::bowl::bathbaby:
 
Kwa nn slaa asijitokeze hadharani sasa hv. Tatizo nini?
 
Wewe ni nani? kwa nini Mhusika mkuu yupo kimya? kwa nini tukuamini wewe? namna pekee ya kutuaminisha ni mhusika kujitokeza na kusema ukweli! LA sivyo hauna tofauti na Manyerere na hilo gazeti!

huyo jamaa ni mtu wa karibu wa dr slaa na wanafanya kazi ofisi moja (cdm) kama assistant wake,so anacho kieleza hakina shaka hata chembe,kabla haja post huu uzi nilikua naongea nae nika muuliza kulikoni kuhusu habar za dr slaa? akacheka sna na kuni ambia dr yupo achana na uzushi wa magazeti.kukaa kimya kwa dr slaa ni mkakati wa kisiasa ili kuvuta umma kufatilia cdm na kumtoa magufuri kwenye mind za watu kwa kipindi hiki.

jiulize who talks about magufuri kwa wiki nzima hii?
 
Mbona raia mwema wamemqoute Dr.Slaa kabisa?

Hebu tumia akili japo kidogo basi! Watu wanachakachua hadi sauti ya mtu itakuwa maandishi! Kwani nikiandika chochote hapa nikasema nimekuquote ni sawa watu waniamini kuwa kweli wewe uliyasema hayo?
 
Mbona mnakuja na majibu yenu tu TUNAOMBA MTULETEE DR MWENYEWE NDO AKANUSHE
 
Wazee wa Lumumba hawajui kwamba wanazidi kutupa umaarufu zaidi pindi wanapohemkwa na chadema
 
It is confirmed that Dr Slaa and John Mnyika wameondoka Chadema. Ujio wa Lowassa ndani ya Chadema imetajwa kwamba ndiyo sababu kubwa ya wao kuondoka Chadema. Nami ninawaunga mkono kwa uamuzi huo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…