Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

Status
Not open for further replies.
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

Huyo jamaa hataweza kukujibu wapi alipo Rais wa mioyo yao. Yeye anadai habari ni uzushi lakini hasemi Rais wa mioyo yao Yuko wapi
 
Wala hakuna sababu ya maneno mengi ya kukanusha jambo hili, hili linahitaji tu kitendo kidogo sana.

Dr Slaa ajitokeze leo aongee na waandishi wa habari kukanusha hilo au la awepo tu akitabasamu wakati Lowassa akirudisha fomu.Kutumia maneno mengi wakati ku a njia rahisi namna hii ni ishara tu kuwa unadanganya
 
Ipo haja ya kujua mmiliki wa gazeti husika ni mtu wa upande gan then unapoona hbr kma hzo kwenye hilo gazeti unaachana nazo mfano hata siku moja huwez kukuta gazet la uhuru likiikosoa nyinyiem

Leo kuna thread yenye makala ya Dr Lwaitama kuhusu Lowassa kuhamia Ukawa. Dr Lwaitama ameeleza kuwa chama cha ACT ni mradi wa CCM kuvuruga upinzani wa kweli. Na gazeti la Raia Tanzania na ACT ni mradi mmoja. Hivyo usishangae propaganda kama hizi kutoka kwenye hili gazeti.
 
Hat Ritz nawe unamtafuta Dr. Slaa na unasema rais wa mioyo? Hata hivyo, hoja yako ni ya msingi. kama Dr. Slaa hajajiuzulu, yupo wapi?

Kujiuzulu kwa Dokta kuna-justify kujificha kwake? Kivipi?
 
Hii imekkaje? Raia Tanzania si kawaida yao kuandika udaku!

DSC09901.jpg
 
kama unadai Dr.kujitokeza mwenyewe mbona hujadai ajitokeze wazi na aseme kama amejiuzulu? Ww una akili za bata
 
uliosema ameondoka leta ushahidi hapa mwandishi gani unaandika madai za uchunguzi bila ushahidi thibitishia uma kwamba dr.slaa kaondoka chadema kama unavyosema.

Rahisi zaidi ilikuwa wanaosema Dr Slaa yupo Chadema wawaite tu waandishi wa habari na kumuona Dr Slaa ofisini, habari za uchunguzi maana yake wamenusa habari hizo.
 
Habari zenu wanajamii,chama cha mapinduzi CCM kinagawa rushwa ya Tsh 5,000/= kwa kila mwenye kadi ya chama hicho.Rushwa hizo zinzgawiwa na wagombea wa nafasi ya ubunge na udiwani.Mamlaka husika mpooo.

aaaah.... acha mzaha bhasi.... nipe adress nakuja... si bado wanagawa mpaka saa hivi?

huu mwaka lazima nimalizie slopu yangu
 
Ipo haja ya kujua mmiliki wa gazeti husika ni mtu wa upande gan then unapoona hbr kma hzo kwenye hilo gazeti unaachana nazo mfano hata siku moja huwez kukuta gazet la uhuru likiikosoa nyinyiem

Hapa Issue sio gazeti, issue ni mambo yanayoendana na gazeti linavyoandika. Wapi kipenzi chetu Dr. Slaa Mnyika? Haiwezekani waende Mwanza kwa Lembeli na Bulaya afu wasiwepo kwa Lowasa then mnakuja na Cheap story hapa....
 
Leo kuna thread yenye makala ya Dr Lwaitama kuhusu Lowassa kuhamia Ukawa. Dr Lwaitama ameeleza kuwa chama cha ACT ni mradi wa CCM kuvuruga upinzani wa kweli. Na gazeti la Raia Tanzania na ACT ni mradi mmoja. Hivyo usishangae propaganda kama hizi kutoka kwenye hili gazeti.
Sasa ACT wanahusika nini na Lowassa kujiunga Chadema
 
Huu sio muda wa ngonjera na hayo mashairi yako kama wewe ni mahili wa hizo tungo mtafute Isha mashauzi akuajili uimbe, cha msingi pamoja na hayo yote unayojisemea kama kichaa muambie Dr akanushe yaliyoandikwa na magazeti kwani we umekuwa mushumbushi? Au unataka kuchukua nafasi yake? Dr uko wapi? Kanusha basi tumechoshwa na ngonjera za watu uwiiiiii!!!!!!!!!!!
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

ritz upo.... najua saa hii unaumwa kuhara mana luwasa amekupwelepweta...
pole lakini...
 
Leo kuna thread yenye makala ya Dr Lwaitama kuhusu Lowassa kuhamia Ukawa. Dr Lwaitama ameeleza kuwa chama cha ACT ni mradi wa CCM kuvuruga upinzani wa kweli. Na gazeti la Raia Tanzania na ACT ni mradi mmoja. Hivyo usishangae propaganda kama hizi kutoka kwenye hili gazeti.

Kabisa leo uhuru hawsjaripot ishu ya vijana wao kuhojiwa takukuru kana kwamba hawaion zaid wanaripot ishu ya lowassa kukataliwa znz mi naona acha wapige kelele tu maana kwa sasa akiongea sana lowassa watasema ameanza kampen kabla ya nec kutangaza tusubir kipind cha kampen kila kitu kitawekwa waz na hao wanaohojiwa na takukuru sijui imekuaje mpka wakafka uko mbna lowassa hajawahi kuhojiwa na takukuru
 
Kwa kweli hii kitu inachanganya naomba Dr aseme watu tuondokane na hili kama yupo au kasepa tujue moja sio kila siku swala hili hili tu
 
Naomba kujua wewe ni msemaji wa Dr? una tofauti gani na Manyerere/ gazeti la raia tanzania km km ww si msemaji wa Dr?
 
Hapa Issue sio gazeti, issue ni mambo yanayoendana na gazeti linavyoandika. Wapi kipenzi chetu Dr. Slaa Mnyika? Haiwezekani waende Mwanza kwa Lembeli na Bulaya afu wasiwepo kwa Lowasa then mnakuja na Cheap story hapa....

Nadhani upo nyuma sana kwa kuaminishwa nawe unapokea vtu kama vilivyo bila ya kuhoji,kama ww ni mfuatiliaji wa siasa za tz ishu ya kutokuwepo kwao dk slaa alishatoa ufafanuz apo mwanzo ishu ni kwamba huo ni muendelezo tu wa stor kwa kuangalia wap pana upungufu ndpo panapotengenezewa story kmbka mlianza na cuf kujitoa ukawa kisa hawakuonekna kwny vikao vya ukawa leo wapo na wamemkubal lowassa kwa moyo mmoja sasa mnakuja na dk slaa
Somen nyakat
 
Wewe ni nani? kwa nini Mhusika mkuu yupo kimya? kwa nini tukuamini wewe? namna pekee ya kutuaminisha ni mhusika kujitokeza na kusema ukweli! LA sivyo hauna tofauti na Manyerere na hilo gazeti!

nmefurahishwa na mawazo ya watu km ww; huyo slaa yupo wapi? au amekuapia bubu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom