Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

Status
Not open for further replies.
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

ofisini .
 
Ah huyu dokta kachoka aachie watu waendelee..naona yeye mwenyewe anapenda hii media frenzy.Kama anaunga mkono si afanye press conference hata ya dk5 kumaliza umbea.Na kama haungi mkono si aseme!Tatizo wanasiasa wanapenda kuwa vichwa vya habari.Eti mke wake anamjibia afu yy yupo kimya.Kweli huyu ndo alitaka awe raisi??ili mke alihutibie taifa au?
Sipo against CDM ila
Dr.Slaa ni so Old News!
du Dr kachoka tena? hili tukio ni fundisho kwetu na litufundishe kusikiliza na kuheshimu maoni ya wengine. cdm is full of egocentric people km watoto wadogo kuanzia uongozi hadi mashabiki wake. kila mtu mwenye mawazo tofauti na wao kwao ni gamba au msaliti. philosopher mmoja alisema ukizungumza na watu wawili mmoja akakubaliana na ww mwingine asikubaliane umpe attention ya kumsikiliza yule asiyekubaliana na ww sababu huyo ana kitu kipya. bahati mbaya sana nchi zetu hizi hata ndani ya ccm n serikali kuuliza/ kutokukubaliana na mkubwa ni kosa na utakua msaliti kuliko maeazo. jamani tujenge tabia ya kusikiliza mawazo tofauti na yale tunayoyaamin( mara nyingi huwa ni migogoro ) ambayo haswandio yanayoleta maendeleo. au tupo ufalme wa giningi?
 
huyo jamaa ni mtu wa karibu wa dr slaa na wanafanya kazi ofisi moja (cdm) kama assistant wake,so anacho kieleza hakina shaka hata chembe,kabla haja post huu uzi nilikua naongea nae nika muuliza kulikoni kuhusu habar za dr slaa? akacheka sna na kuni ambia dr yupo achana na uzushi wa magazeti.kukaa kimya kwa dr slaa ni mkakati wa kisiasa ili kuvuta umma kufatilia cdm na kumtoa magufuri kwenye mind za watu kwa kipindi hiki.

jiulize who talks about magufuri kwa wiki nzima hii?
OK mkuu nimekupata....let's hope for the best!
 
Mleta mada wala usipatwe gadhabu. Wala mimi sina sababu ya kulumbana hapa. Nilichoposti juzi ndicho hicho hicho ninachoendelea kukisimamia. Hili ni suala la muda tu. Muhimu ni kuwa Dr. Slaa ameiacha Chadema, basi. Huo ndiyo ukweli hata kama kwako na wengine wa aina yako ni mchungu. Hapa hatuleti ushabiki, isipokuwa uhalisia wa mambo. Time will tell.

nakumbuka ulisema haitapita ijumaa , leo time will tell, hueleweki
 
Mi naona Dr yupo sahihi sana kukaa kimya. aje hadharani aseme nini? chadema kina vikao halali vy chama huko ndiko anakoweza kusema mambo yote y chama. maintectual hawakurupuki ati wat tumezoea kubwabwaja tu mpaka wakati mwingine haijulikani msemaji wa taasisi ni nani. wengi hatuwez kuaddress mambo yetu kwenye organ sahihi. Dr kaa kimya tujifunze kwamba kila taasis ina taratibu zake.
 
OK mkuu nimekupata....let's hope for the best!

Huwezi kuzuia Jua kwa kufumba Macho acheni kuiga tabia za Ma Ccm kuabudu Uongo. SLAA hajakubali ujio wa Lowassa kila mtu anajua kasoro mwenye ufa kwenye Mfumo wa fahamu
 
Huyo jamaa hataweza kukujibu wapi alipo Rais wa mioyo yao. Yeye anadai habari ni uzushi lakini hasemi Rais wa mioyo yao Yuko wapi

Halafu mkijua alipo ili iweje?

Yaani adui ajue lilipo ghala la silaha zako?
 
Leo kuna thread yenye makala ya Dr Lwaitama kuhusu Lowassa kuhamia Ukawa. Dr Lwaitama ameeleza kuwa chama cha ACT ni mradi wa CCM kuvuruga upinzani wa kweli. Na gazeti la Raia Tanzania na ACT ni mradi mmoja. Hivyo usishangae propaganda kama hizi kutoka kwenye hili gazeti.

unafikiria kwa ma.ta.ko wewe-ina maana rushwa waliyopokea Mbowe na Mtei ndio upinzan wa kweli? wewe hujitambui -kiongoz wa kweli Slaa kaelewa, sijui hapa ACT inakujaje au unataka kujifurahisha tu
 
Na hawa wanauliza alipo ni kana kwamba hawajui ofisi ya General Secretary wa CHADEMA pamoja Na naibu wake upande wa Tanganyika!!

Hebu tuwaulize maswali haya na ninyi;

Mosi; mmefika ofisi ya Katibu mkuu mkakuta mtu mwingine mbadala wake?

Kama jibu ni hapana, uzushi huu wa gazeti la Raia Tanzania msingi wake ni nini hasa?

Pili; kuna official statement ya CDM, Dr Slaa na JJ Mnyika kuhusu kujiuzuru kwao?

Haya tu yanathibitisha kuwa gazeti hili linafanya propaganda
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

Ritz fuata kama maelekezo ya Gazeti lenu la UHURU na Raia Tanzania yanavyoelekeza! Dr Slaa na Mnyika wamejiudhuru nafasi zao! Ova
 
Swala la yuko wapi DR Slaa ni hivi CDM wanamwogesha ili akitokea Mna msahau kama ndio yule wa Richmond. Tafakari sana neno KUMWOGESHA,.
 
Huna lolote kazi kuchezea akili za Watanzania mbuzi wote
 
Hivi huyu babu kafukiwa wapi lakini inamaana kimemuuma kiasi hiki? Duu kweli madaraka matamu.
 
Nyumbu mbona mnalialia kwan mlijipangaje?
Tuambien basi Dr Slaa yuko wapi?
 
Kinacho msumbua slaa ni deni la nyumba lasibyo siku nyingi angekua ametimka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom