Huu ndiyo mkakati mzima wa CCM kuidhoofisha CHADEMA...

Wanaosema kukomboa nchi kwani imetekwa au ni ukombozi gani mnaozungumza!zungumzieni mageuzi sio ukombozi!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Watashindwa vibaya wasaliti hawa
 
Naona watu wengi mmeweka siasa pembeni na kumpa Dr Kitila ushauri wa kumsaidia yeye na Familia yake.

Ni vigumu sana kuangamiza upinzani nchini kama anavyotamani iwe.Nyakati hizi ni zama nyingine kabisa.

Yaan kafilisika mpaka anatia kinyaa. Majina mengine ni hatari sana "MKUMBO" hata udokta wake ni wa mkumbo tu ndo maana CHADEMA walipofanya scanning wakadetect virus... Halafu bila aibu eti anapambana na waliomlea
 
Yaan kafilisika mpaka anatia kinyaa. Majina mengine ni hatari sana "MKUMBO" hata udokta wake ni wa mkumbo tu ndo maana CHADEMA walipofanya scanning wakadetect virus... Halafu bila aibu eti anapambana na waliomlea

Mkuu umeongea mambo mazito sana.Niishie tu hapo!
 

Daktari,
Ukitlia maanani kuwa aliyoyaandika crashwise yametokea kweli (nazungumzia habari ya "wana CHADEMA" kwenda kwa msajili na CAG), uongo na uzushi unaousema wewe hapa ni upi? Nakubaliana na wewe kuwa mtu halazimishwi kupenda chama, lakini mbona kila unachokiandika tangu ufukuzwe CHADEMA kinaonekana kuhusu CHADEMA zaidi ya chama chako kipya (ACT)?
 
ubinadamu bora ni kulinda heshima na kuwa na misimamo thabiti Dr Kitila mkumbo plz rudi ktk taaluma kwani ni HESHIMA zaidi//

What if huyo unaemshauri anajua kuwa kwenye taaluma ni misfit? Mwenye taaluma ambae ni competent asingefika hapo alipofika in the first place!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu crashwise,
Umenifurahisha sana, ni kama vile wewe ulikuwa mjumbe kwenye kikao vile!!!!! kazi kweli kweli.
 
Kitu cha kujiuliza hivi Zitto ataendelea kutegemea pesa za kuhongwa na CCM hadi lini?
 
Wabongo wengi wanafiki,kila mtu anatafuta nafasi ya kula pesa za nchi.Sidhan kama hao chadema wakichukua nchi hawatakuwa mafisadi kama hawa wengine.Sihitaji mtu wa kupigania maisha yangu ntajipigania mwenyewe.
Poor Politics

You are missing the point here! Mabadiliko tunayoyataka sio ya CHADEMA kuchukua nafasi ya ccm halafu status quo ikabaki. Tunataka uwajibikaji ambapo walio madarakani watawajibika kwa wananchi na wakishindwa watolewe madarakani. We need functional internal controls ili chama kiwacho chote kikiwa madarakani kisi-act with impunity kama genge hili la kina kikwete!

Unajidanganya unapoamini kuwa utaweza kujipigania mwenyewe na kufanikiwa kama mfumo wa utawala wa sheria haufanyi kazi yake inavyotakiwa. Kama kila mtu atajipigania mwenyewe public goods zitatoka wapi? Ungana na sisi katika mapambano ya kudai mabadiliko ili kila mtu apate fursa sawa ya kutumia uwezo wake kujiletea maendeleo!
 

Mkuu wangu nikurekebishe kidogo.Walioenda kwa msajili siyo wanachadema bali ni wanachama wa CCM kupitia ACT ambao ni waganga njaa na wachumia Tumbo.
 
Kitu cha kujiuliza hivi Zitto ataendelea kutegemea pesa za kuhongwa na CCM hadi lini?

Muda wake umefika. Hata ccm wenyewe watagundua kuwa zito hana influence waliyokuwa wanam-credit nayo. Wote (ccm na zito) wali underestimate fact kuwa nguvu na umaarufu wa zito ulitokana na yeye kuwa ndani ya CHADEMA, nje ya CHADEMA zito si lolote wala chochote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…