leah2
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 584
- 1,437
Wanajamvi Leo nimejipa muda wa kutosha kutafakari uongozi wa rais wetu wa awamu ya tano nikagundua kuwa kuna mazuri mengi amefanya kuliko hata mabaya.
Wanasema mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
Haya ndiyo mazuri yake:
Amerudisha nidhamu kazini,
Amekomesha uporaji wa fedha za umma,
Ameondoa lundo la michango mashuleni,
Ameboresha elimu,
Ameleta heshima mtaani na nyumbani pia,
Ameongeza ukusanyaji kodi,
Amekomesha ufisadi,
Ameondoa ukilitimba kwenye ajira,
Amefufua shirika la ndege,
Amezuia wizi na utoroshaji wanyama kwenye mbuga zetu.
Amefuta service charge kwenye huduma za umeme.
Na wewe jazia mazuri alioyafanya.
Kumbuka hapa tunazungumzia mema tu.
Nawasilisha.
Wanasema mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
Haya ndiyo mazuri yake:
Amerudisha nidhamu kazini,
Amekomesha uporaji wa fedha za umma,
Ameondoa lundo la michango mashuleni,
Ameboresha elimu,
Ameleta heshima mtaani na nyumbani pia,
Ameongeza ukusanyaji kodi,
Amekomesha ufisadi,
Ameondoa ukilitimba kwenye ajira,
Amefufua shirika la ndege,
Amezuia wizi na utoroshaji wanyama kwenye mbuga zetu.
Amefuta service charge kwenye huduma za umeme.
Na wewe jazia mazuri alioyafanya.
Kumbuka hapa tunazungumzia mema tu.
Nawasilisha.