mr sangoyi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 331
- 292
Picha yako nzuri mno ila akili ni matope+takataka
Leah naomba nikuowe tule wote hizo hela, btw bado una mpango wa kuacha kazi?Kwa yanayofanywa na wizara ya elimu ni hatua nzuri za kuboresha elimu
Tatizo unafuata mkumbo ktk kutathmini mambo, jaribu kuiga masharistaki kuamini kuwa uwezo wako Wa kufikiri umeishia hapo, na kama kweli uwezo wako umeishia hapo basi Tanzania ya majanga badala ya viwanda inakuja.
by the way, naona kuna nafasi ya ukurugenzi unaisotea maama soon mkurugenzi mmoja atatenguliwa kaza mwendo unaweza kuupata, anzisha Uzi mwingine.
usisahau kumtaja lowasa hili Uzi upate wachangiaji wengi
Joshua Nassari mbunge wa Arumeru hajataka kuwa mnafiki, kaongea ukweli juu ya serikali ya awamu ya tano.Wanajamvi Leo nimejipa muda wa kutosha kutafakari uongozi wa rais wetu wa awamu ya tano nikagundua kuwa kuna mazuri mengi amefanya kuliko hata mabaya.
Wanasema mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
Haya ndiyo mazuri yake:
Amerudisha nidhamu kazini,
Amekomesha uporaji wa fedha za umma,
Ameondoa lundo la michango mashuleni,
Ameboresha elimu,
Ameleta heshima mtaani na nyumbani pia,
Ameongeza ukusanyaji kodi,
Amekomesha ufisadi,
Ameondoa ukilitimba kwenye ajira,
Amefufua shirika la ndege,
Amezuia wizi na utoroshaji wanyama kwenye mbuga zetu.
Amefuta service charge kwenye huduma za umeme.
Na wewe jazia mazuri alioyafanya.
Kumbuka hapa tunazungumzia mema tu.
Nawasilisha.
Nimesema you need to go beyond just listing!Emu jaribu kurudia ufahamu wako usiandike kufuata mkumbo
Labda hawataki Maxence Melo akamatwe tena.Kwani mnalipwa kwa kuandika haya?
nidhamu kwa kigezo kipi?
heshima mitaani kwa kigezo kipi?
Ameboresha elimu? seriously?
Mimi sio mnafiki dadaangu fanya research kikamilifu utaujua huo ukakasi.Ukakasi unatoka wapi mkuu?
Sawa ,sasa mbona hilo Ombi langu la kutaka kukuowa hujanijibu?Siyo mpango tu mkuu nilishaomba rikizo na sina mpango wa kurudi tena