Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Amemtumbua mtu na mama yake
Peleka mavi ya kuku mbali wee kiazi!!Una uhakika na ulicho post hapa? Au unataka kupima ukali wa moto kwa kujitupia ndani yake?
ndio mkuu wao kazi yao ni negativity tuu positivity hawazionglei. kikifanywa cha maaana wanakiponda kuwa eti bora angeongeza na hici, mfano panga boy waliziponda sasa hizo boeng walizokua wanataja ndo zingekuja kutua kwenye viwanja vipi? na abiria gani?Hawa hawana lolote ni maneno ya mkosaji, kila siku wanahubiri negatives tu
Watu kuwahi maofisini na watumishi wa umma wana nidhamu kwa kweli inatia moyo.Sasa arudi na kuanza kuondoa hofu kwa wananchi ili waendelee kufanya kazi bila hofu,na hii italeta Amani kwa wawekezaji pia na wafanya biashara ili maisha yaende.
Hahahaha! Na utasaga lami sanaPeleka mavi ya kuku mbali wee kiazi!!
Analipa mishahara mapema imagine Leo tu unaweza kuta tayari inasoma kwa watumishiWanajamvi Leo nimejipa muda wa kutosha kutafakari uongozi wa rais wetu wa awamu ya tano nikagundua kuwa kuna mazuri mengi amefanya kuliko hata mabaya.
Wanasema mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
Haya ndiyo mazuri yake:
Amerudisha nidhamu kazini,
Amekomesha uporaji wa fedha za umma,
Ameondoa lundo la michango mashuleni,
Ameboresha elimu,
Ameleta heshima mtaani na nyumbani pia,
Ameongeza ukusanyaji kodi,
Amekomesha ufisadi,
Ameondoa ukilitimba kwenye ajira,
Amefufua shirika la ndege,
Amezuia wizi na utoroshaji wanyama kwenye mbuga zetu.
Amefuta service charge kwenye huduma za umeme.
Na wewe jazia mazuri alioyafanya.
Kumbuka hapa tunazungumzia mema tu.
Nawasilisha.
Ina maana huoni kuwa laana tayari? Ushawahi kuona au kusikia makaburi ya wanyama Afrika hii?Laaana isiyo na sababu hampati mtu
Amefanikiwa kuwatumbua Mama na Mwana.Kila mtu ana maoni yake
Amefanikiwa kuwatumbua Mama na Mwana.
Ameruhusu Mama atibiwe Muhi 2 na Mwana adisiko chuoni.
Katika Halimashauri ya CCM amefanikiwa kufuta nafasi zilizo waingiza Mama na Mwana.
Mama na Mwana ni kipindi cha redio kilichopendwa sana na Watoto miaka ya 80..
Mkuu unaoneka unaulimbukeni Fulani hivi, yaani ukuu wa idara unakuuma sana! Anyway sikuzote walionacho hujifariji kuona wenye nacho wadalili za kufanana nao.
Ndiyo nyie mnaoshangilia wengine kushushwa vyeo au kufukuzwa kazi ili mfanane.
Kusema mabaya ya utawala huu haina maana hakuna mazuri.
Fanya jambo moja achana ukuu wa idara rejea kwenye mada usitutemee kwa mapovu yasiyo sababu