Tetesi: Huu ndio uraia wake na dini yake

Acha vitisho wewe sheikh Mwaipopo.
 
Acha uwongo.
Dr. Salim A. S aligomewa sababu ya ubaguzi wa uasili.
 
Hivi muislamu unavyotokwa na mishipa ya shingo kumtetea Samia kwamba anabaguliwa kisa uislamu wake, kwani waislamu Tanzania wanafaidika nini kwa urais wa Samia? Kama anabaguliwa sababu ya uislamu ila nachojiuliza pia waislamu wanafaidika nini kwa kuwa na rais muislamu?
 
THERE WAS NO INFORMATION, NOW INFORMATION IS AVAILABLE....JINAI HUWA HAIFI
 
Anasema, Ni mzanzibari na wala si Mtanganyika wa Dodoma, and therefore si Mgogo according to this information from this chap!

With this information if true, ana sifa za kuwa na nafasi aliyopewa

View attachment 3659270
Yule aliyetumwa na altare ameshapigwa chini so makadirio na maombolezo hayatawasaidia Kwa sasa.
 
Wivu ,chuki na kuumbuka Kwa njama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…