huu ndio ukweli tuamke

huu ndio ukweli tuamke

rimbocho

Member
Joined
Jan 11, 2010
Posts
73
Reaction score
3
[SIZE=+7][FONT=Times New Roman, Times, serif][FONT=Times New Roman, Times, serif]Huu ndio ukweli:embarrassed1:[/FONT][/FONT][/SIZE][FONT=Times New Roman, Times, serif]

[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]Nyerere Msingi aloujenga Tanzania haufai, Tuubomoe[/FONT].
Ujamaa ulishindwa, kwani CCM alioanzisha Nyerere sasa imezeeka. Sera zake zimeiharibu nchi yetu Tanzania. Tunataka mapinduzi tuitoe CCM madarakani ili tusinyanyaswe tena. Tumeonewa vya kutosha. sasa basi. CCM hatuitaki, imetufika shingoni. Tutaitapika.Mungu bariki Watanzania, wape hekima ya kutosha kuiweka CCM kapuni. Chukua usukani sasa kuiongoza Tanzania kwani kwa kipindi kirefu nchi yetu iliwekwa wakfu kwa shetani mpinzani wako. Tunamkataa shetani na CCM chama anachotumia kuwatesa watanzania, na tunaiweka nchi yetu mikononi mwako. Tumeomba machache hayo katika jina la Yesu Mwokozi wetu. Amen
 
[SIZE=+7][FONT=Times New Roman, Times, serif][FONT=Times New Roman, Times, serif]Huu ndio ukweli:embarrassed1:[/FONT][/FONT][/SIZE][FONT=Times New Roman, Times, serif]

[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]Nyerere Msingi aloujenga Tanzania haufai, Tuubomoe[/FONT].
Ujamaa ulishindwa, kwani CCM alioanzisha Nyerere sasa imezeeka. Sera zake zimeiharibu nchi yetu Tanzania. Tunataka mapinduzi tuitoe CCM madarakani ili tusinyanyaswe tena. Tumeonewa vya kutosha. sasa basi. CCM hatuitaki, imetufika shingoni. Tutaitapika.Mungu bariki Watanzania, wape hekima ya kutosha kuiweka CCM kapuni. Chukua usukani sasa kuiongoza Tanzania kwani kwa kipindi kirefu nchi yetu iliwekwa wakfu kwa shetani mpinzani wako. Tunamkataa shetani na CCM chama anachotumia kuwatesa watanzania, na tunaiweka nchi yetu mikononi mwako. Tumeomba machache hayo katika jina la Yesu Mwokozi wetu. Amen

Sasa hapa kwa mtazamo wako tatizo hasa la umaskini wa watanzania ni nini hasa? Ni Nyerere? ni ujamaa? ni CCM iliyozeeka na sera zake? au shetani? Na je kuiondoa tu CCM madarakani kutaondoa umaskini Tanzania?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom