Huu ndio ukweli mtupu

Huu ndio ukweli mtupu

FOREVER LIVING
COMPANY
Je!! Kuna mtu unamfahamu
1. Anatafutampango kazi utakaomwezesha kustaafu miaka 5-10 akiwa na kipato maradufu?
2. Anatafuta njia ya kuongeza kipato cha ziada?
3. Ni mama na ungependa kukaa nyumbani na kulea watoto huku ukitengeneza kipato kizuri?
4. Ni mwanachuo unayetafuta njia mbadala ya kutafuta kipato kizuri?
Tuwasiliane; 0768 577 654
email; izackmanase@gmail
.com
fb : www.facebook.com//
Izack Manase
SAMBAZA UJUMBE HUU KWA WALENGWA UNAOWAFAHAMU. UWAOKOE NA UMASKINI ILI WATIMIZE NDOTO ZAO.

Hahahahhaaahhh...,
Daahh!!...wewe ndio umeua kabisa..
 
Mkuu gentamycine du! Mbona wewe mwenyewe ndio jasusi! Salute ya
 
GENTAMYCINE

Baada ya miaka mitatu uje hapa kutoa ushuhuda wa huyo unayemsema kama atakuwa karudi kwa mola wake. Tunakuombea usitangulie wewe ili uje utupe ushuhuda

Wewe Na Hao Wote Waliokupa Like Nimewaona Katika Ulimwengu Wa Roho Kuwa Hamtafikisha Hata Miezi 6 Ijayo Mtamtangulia FISADI.
 
Huku Taifa Likiwa Limegawanyika Nikimaanishwa Wengine Tunacheka Na Kufurahi ( I Inclusive ) Na Wengine Wakiwa Wamenuna, Wanalia Na Wamelala Na Vidonge Pembezoni Mwa Vitanda Vyao Wakisubiri Jinsi Gani Watatubu Kwa Mwenyezi Mungu Dhambi Kubwa Walizozifanya Ndani Ya Miezi 2 Hii Ya Hekaheka Za Utiaji Nia Na Ugombeaji Urais Ndani Ya Chama Tawala Cha CCM.

Je UKWELI Ni UPI?

Sitataja Jina Ila Itabidi Wewe Mwenyewe Ujiongeze Kama Wasemavyo Wasukuma. Ukweli Ni Kwamba Kuna Mtangaza Nia Mmoja Anataka Kuwahadaa Watanzania Kuwa Anachukiwa Na Amedhulumiwa ILI Apate Tu Public Sympathy ILA UKWELI Ni KWAMBA Huyo MTIA Nia Japo Alificha Na Hakutaka Watanzania wajue Lakini Kupitia Vijana Wa Tanzania Ambao WAMEPIKWA Na WAKAPIKIKA Katika Masuala Mazima Ya UJASUSI Na UDUKUZI Duniani Walio Na Ofisi Yao Makao Makuu Oysterbay Mkabala Na Multi Choice Tanzania Wawili Walitumwa Kwenda Katika Hiyo Hospitali Ambayo Yeye Huwa Anaenda Katika Nchi Ambayo IMEWAHI Kuwa MTAWALA Wetu Na Walipofika Huko Wakajifanya Na Wao Wanaumwa Na Wakapiga Kambi Hapo Kwa Takribani Miezi 3 Na Wakarudi Na Kila Kitu Cha Kuhusu AFYA TIMILIFU Ya Huyo MTIA Nia.

Ukweli Ni Kwamba Ripoti Ya Kitabibu Na Kauli Za Madaktari Waliokuwa Wanamuhudumia Huko Inasema Kwamba Huyo MTIA NIA ANA UGONJWA AMBAO UTAMFANYA AISHI MIAKA 3 KWANI TATIZO LAKE HALINA JINSI NA HAWAKUISHIA HAPO BALI ALISHAURIWA PIA KUWA ASIJIHUSISHE NA MASUALA YOYOTE YA HARAKATI ZA KISIASA KWA KUZINGATIA AFYA YAKE AMBAYO KATIKA MACHO YETU SISI WATANZANIA INAONEKANA NI NZURI ILA KATIKA MACHO YA MADAKTARI WANAONA MAREHEMU MTARAJIWA WA MUDA NA WAKATI WOWOTE.

Hivyo Basi Hata Hao CCM Wanazuga Tu Lakini UKWELI Ni Kwamba AMESULUBIWA KIPILATO Kwa Suala Lake Hili Tu La KIAFYA Na Huko Kwingine Sijui Rushwa Na Kadhalika Ni Mbwembwe Tu Na Kuna MGOMBEA Mwingine Pia AMBAYE AMEINGIA 5 Bora Lakini Na Yeye Pia ATALIMWA KIPILATO Kwani Na YEYE Kiafya Hayuko Vizuri JAPO ANAWEZA Kuishi Kwa MATUMAINI Lakini Watu Wanaogopa ASIJE SIKU AKASAHAU KUNYWA Vile VIDONGE Vyetu Na AKATUFIA GHAFLA Yakawa Ya Akina Michael Satta.

Breaking News Yangu Ndiyo Hiyo Kama Nilivyowaahidini Jana Usiku Wa Saa 8 Kuwa Nikiamka Salama Leo Asubuhi NITAWAPAKULIENI Ila Tu Sitaki MNIULIZE Ni Akina Nani Hao Isipokuwa Nyie Kwa Maelezo Yangu Tu Hayo JIONGEZENI Na Tumieni Formula Ya MAGAZIJUTO Mtawajua.

Asubuhi Njema Nyote.

Hivi nyie si ndio mliotuambia mwaka 2005 jk ana ngoma sasa leo unataka tena kuanza kuhamasisha unyanyapaa kwa mmoja wa wagombea?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu gentamycine du! Mbona wewe mwenyewe ndio jasusi! Salute ya
 
Tanzania sasa inaelekea kuzuri, muhimu chama hiki kugawanyika hili tupate mabadiliko.

Mungu ibariki Tanzania.
 
huyo siyo jasusi hata ,jasusi hapa hapa tu majibu yanapatikana siyo kulala hospitali miezi mitatu,Hizi ni stori za vijiweni tumezichoka, aliweka uzi hapa kipindi kile OKWI yupo Yanga kuwa anahii kitu na Ngasa pia sasa wenzie wameshafanya vipimo na wanapiga ndinga huko kwa watu
Hivi nyie si ndio mliotuambia mwaka 2005 jk ana ngoma sasa leo unataka tena kuanza kuhamasisha unyanyapaa kwa mmoja wa wagombea?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mleta mada umeeleweka,lkn miaka mitatu inayokadiriwa mbona inatosha kwenda Magogoni akatumikia umma wa Watz?
Aidha,bado yy ana hoja hiyo,kwa nn mwingine amepitishwa wkt kwenye uzi wako umemweka kundi moja na yule wa kwanza? Why wasikatwe wote?
 
Back
Top Bottom