Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 323
Wakuu kuna kitu kimekuwa kikinishangaza sana kuhusu mapenzi.
Leo nimeamua kidogo niliulize ili swali maana kwangu naliona sio la kawaida. Hivi kwanini mtu ukiwa upo kwenye mahusiano ukimtongoza mwanamke yoyote nje hakatai tena unampata kirahisi tu? ila mfano ukiwa single ukijaribu kumtongoza mwanamke yoyote hata awe mbaya vipi lazima atakataa tu.
Hivi kuna mahusiano gani katika hayo mambo? Mfano mimi kipindi nipo single nilikuwa kila nikitongoza pisi lazima akatae, lakini nilipoingia kwenye mahusiano asilimia mia mmoja kila nikitongoza msichana lazima akubari.
Hii imetokea kwa wengi maana nilijaribu kufanya uchunguzi nikagundua ni wengi uwapata, sasa kwa wapembuzi wa mambo naombeni mawazo yenu kuhusu ili jambo?
Leo nimeamua kidogo niliulize ili swali maana kwangu naliona sio la kawaida. Hivi kwanini mtu ukiwa upo kwenye mahusiano ukimtongoza mwanamke yoyote nje hakatai tena unampata kirahisi tu? ila mfano ukiwa single ukijaribu kumtongoza mwanamke yoyote hata awe mbaya vipi lazima atakataa tu.
Hivi kuna mahusiano gani katika hayo mambo? Mfano mimi kipindi nipo single nilikuwa kila nikitongoza pisi lazima akatae, lakini nilipoingia kwenye mahusiano asilimia mia mmoja kila nikitongoza msichana lazima akubari.
Hii imetokea kwa wengi maana nilijaribu kufanya uchunguzi nikagundua ni wengi uwapata, sasa kwa wapembuzi wa mambo naombeni mawazo yenu kuhusu ili jambo?