Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

Huu ndio ukweli ambao watu wengi wanaogopa kusema

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,533
Reaction score
4,290
HUU NDIO UKWELI AMBAO WATU WENGI WANAOGOPA KUSEMA.

Leo Ijumaa Kuu kwetu wakristo tunaiita ni siku ya kumbukizi ya Mateso kwa mwana wa Mungu.
Nami nimeona sio vibaya niseme maneno ambayo baadhi ya watu wanaogopa hata kuyasikia.

Lengo langu sio kuhimiza uasi wala ubaya ila napenda kusema ingependeza kila mtu aishi katika kile anachokiamini.

Lengo la maandiko yangu ni kuhimiza watu waache maigizo katika maisha yamkini wayafuate yale ambayo nafsi na mioyo yao inawasukuma kufanya pasipo kuwa na maigizo.

Kama unajijua wewe ni mtenda Mema basi ishi katika kutenda wema kila siku, kila dakika na kila saa, Tenda wema usiokusudia malipo.

Na kama wewe ni mtenda ubaya ishi katika ubaya, ishi katika visasi, ishi katika uovu ishi katika dhuluma, ishi katika ubinafsi uliotukuka! Acha kufanya maigizo ya kutenda wema fanya kile ambacho kinakupa furaha.

Lengo la kuyasema haya ni kukufungulia pasword ambayo Dunia ya mwanadam imemficha kumwambia ukweli.

1. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA JEMA KWA WEMA.

2. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA BAYA KWA UBAYA.

Hapa namaanisha kwamba kila jambo linalotokea katika maisha yako jua lilikuwepo katika mtililiko wa maisha yako.

Hakuna jambo litawahi kukutokea katika maisha yako kama matokeo ya Wema uliotenda au ubaya uliotenda.

Isipokuwa tu! Matokeo haya yanaweza kuonekana iwapo Ulimwengu utachukua hukumu ya matendo yako mfano ukitenda ubaya unaweza kushtakiwa kwa mjibu wa sheria za nchi uliyopo na ukaadhibika,

Vilevile ukitenda wema unaweza kulipwa wema na uliemtendea au mashahidi walioshuhudia wema wako.

Lakini tofauti na hapo Asili ya Dunia haijawai wala haitowahi ku repay chochote ulichowahi kufanya.

Wapo wengi wanaopitia mapito flani hadi mioyoni wanaanza kujihukujum kuwa pengine ni kwa sababu niliwahi kufanya kitu flani katika maisha ndio maana napitia haya... "Sio kweli"

Amini unachokipitia kilipaswa kikupitie ni mda wa wewe kupambana namna ya kujiokoa ila sio kukumbuka mapito yako.

Pia ukipata baraka amini ilipangwa utaipata isifikie mda ukaamini umebarikiwa kwa sababu ulijitoa kufanya jambo flani.. "sio kweli"

Sababu kuu ni kwamba wapo waliowahi kufanya wema au mazuri zaidi ya hilo ulilofanya wewe na hawajapata neema kama hiyo uliyopata wewe.

Pia wapo waliotenda maovu zaidi ya hayo yanayokusuta wewe hadi ukashindwa kusonga mbele ila bado wapo katika mstari ulionyooka na hakuna baya lolote lililowasibu na bado wanaishi vzuri sana.

Lengo langu sio kukufundisha wewe kutenda mabaya au kutenda wema.. no" Natamani tuwe na uwezo wa kuishi na kuitawala Dunia katika maisha yale yanayotupendeza wenyewe na sio kutawaliwa kifikra.
 
That's why I say

Karma doesn't exist.
 
HUU NDIO UKWELI AMBAO WATU WENGI WANAOGOPA KUSEMA.

Leo Ijumaa Kuu kwetu wakristo tunaiita ni siku ya kumbukizi ya Mateso kwa mwana wa Mungu.
Nami nimeona sio vibaya niseme maneno ambayo baadhi ya watu wanaogopa hata kuyasikia.

Lengo langu sio kuhimiza uasi wala ubaya ila napenda kusema ingependeza kila mtu aishi katika kile anachokiamini.

Lengo la maandiko yangu ni kuhimiza watu waache maigizo katika maisha yamkini wayafuate yale ambayo nafsi na mioyo yao inawasukuma kufanya pasipo kuwa na maigizo.

Kama unajijua wewe ni mtenda Mema basi ishi katika kutenda wema kila siku, kila dakika na kila saa, Tenda wema usiokusudia malipo.

Na kama wewe ni mtenda ubaya ishi katika ubaya, ishi katika visasi, ishi katika uovu ishi katika dhuluma, ishi katika ubinafsi uliotukuka! Acha kufanya maigizo ya kutenda wema fanya kile ambacho kinakupa furaha.

Lengo la kuyasema haya ni kukufungulia pasword ambayo Dunia ya mwanadam imemficha kumwambia ukweli.

1. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA JEMA KWA WEMA.

2. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA BAYA KWA UBAYA.

Hapa namaanisha kwamba kila jambo linalotokea katika maisha yako jua lilikuwepo katika mtililiko wa maisha yako.

Hakuna jambo litawahi kukutokea katika maisha yako kama matokeo ya Wema uliotenda au ubaya uliotenda.

Isipokuwa tu! Matokeo haya yanaweza kuonekana iwapo Ulimwengu utachukua hukumu ya matendo yako mfano ukitenda ubaya unaweza kushtakiwa kwa mjibu wa sheria za nchi uliyopo na ukaadhibika,

Vilevile ukitenda wema unaweza kulipwa wema na uliemtendea au mashahidi walioshuhudia wema wako.

Lakini tofauti na hapo Asili ya Dunia haijawai wala haitowahi ku repay chochote ulichowahi kufanya.

Wapo wengi wanaopitia mapito flani hadi mioyoni wanaanza kujihukujum kuwa pengine ni kwa sababu niliwahi kufanya kitu flani katika maisha ndio maana napitia haya... "Sio kweli"

Amini unachokipitia kilipaswa kikupitie ni mda wa wewe kupambana namna ya kujiokoa ila sio kukumbuka mapito yako.

Pia ukipata baraka amini ilipangwa utaipata isifikie mda ukaamini umebarikiwa kwa sababu ulijitoa kufanya jambo flani.. "sio kweli"

Sababu kuu ni kwamba wapo waliowahi kufanya wema au mazuri zaidi ya hilo ulilofanya wewe na hawajapata neema kama hiyo uliyopata wewe.

Pia wapo waliotenda maovu zaidi ya hayo yanayokusuta wewe hadi ukashindwa kusonga mbele ila bado wapo katika mstari ulionyooka na hakuna baya lolote lililowasibu na bado wanaishi vzuri sana.

Lengo langu sio kukufundisha wewe kutenda mabaya au kutenda wema.. no" Natamani tuwe na uwezo wa kuishi na kuitawala Dunia katika maisha yale yanayotupendeza wenyewe na sio kutawaliwa kifikra.
Hasi na chanya ni vitu ambavyo viko sambamba so upande wowote utakao Kaa kuuhudumu universe itakupokea na kushirikiana na wewe bila shida yoyote.
 
HUU NDIO UKWELI AMBAO WATU WENGI WANAOGOPA KUSEMA.

Leo Ijumaa Kuu kwetu wakristo tunaiita ni siku ya kumbukizi ya Mateso kwa mwana wa Mungu.
Nami nimeona sio vibaya niseme maneno ambayo baadhi ya watu wanaogopa hata kuyasikia.

Lengo langu sio kuhimiza uasi wala ubaya ila napenda kusema ingependeza kila mtu aishi katika kile anachokiamini.

Lengo la maandiko yangu ni kuhimiza watu waache maigizo katika maisha yamkini wayafuate yale ambayo nafsi na mioyo yao inawasukuma kufanya pasipo kuwa na maigizo.

Kama unajijua wewe ni mtenda Mema basi ishi katika kutenda wema kila siku, kila dakika na kila saa, Tenda wema usiokusudia malipo.

Na kama wewe ni mtenda ubaya ishi katika ubaya, ishi katika visasi, ishi katika uovu ishi katika dhuluma, ishi katika ubinafsi uliotukuka! Acha kufanya maigizo ya kutenda wema fanya kile ambacho kinakupa furaha.

Lengo la kuyasema haya ni kukufungulia pasword ambayo Dunia ya mwanadam imemficha kumwambia ukweli.

1. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA JEMA KWA WEMA.

2. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA BAYA KWA UBAYA.

Hapa namaanisha kwamba kila jambo linalotokea katika maisha yako jua lilikuwepo katika mtililiko wa maisha yako.

Hakuna jambo litawahi kukutokea katika maisha yako kama matokeo ya Wema uliotenda au ubaya uliotenda.

Isipokuwa tu! Matokeo haya yanaweza kuonekana iwapo Ulimwengu utachukua hukumu ya matendo yako mfano ukitenda ubaya unaweza kushtakiwa kwa mjibu wa sheria za nchi uliyopo na ukaadhibika,

Vilevile ukitenda wema unaweza kulipwa wema na uliemtendea au mashahidi walioshuhudia wema wako.

Lakini tofauti na hapo Asili ya Dunia haijawai wala haitowahi ku repay chochote ulichowahi kufanya.

Wapo wengi wanaopitia mapito flani hadi mioyoni wanaanza kujihukujum kuwa pengine ni kwa sababu niliwahi kufanya kitu flani katika maisha ndio maana napitia haya... "Sio kweli"

Amini unachokipitia kilipaswa kikupitie ni mda wa wewe kupambana namna ya kujiokoa ila sio kukumbuka mapito yako.

Pia ukipata baraka amini ilipangwa utaipata isifikie mda ukaamini umebarikiwa kwa sababu ulijitoa kufanya jambo flani.. "sio kweli"

Sababu kuu ni kwamba wapo waliowahi kufanya wema au mazuri zaidi ya hilo ulilofanya wewe na hawajapata neema kama hiyo uliyopata wewe.

Pia wapo waliotenda maovu zaidi ya hayo yanayokusuta wewe hadi ukashindwa kusonga mbele ila bado wapo katika mstari ulionyooka na hakuna baya lolote lililowasibu na bado wanaishi vzuri sana.

Lengo langu sio kukufundisha wewe kutenda mabaya au kutenda wema.. no" Natamani tuwe na uwezo wa kuishi na kuitawala Dunia katika maisha yale yanayotupendeza wenyewe na sio kutawaliwa kifikra.
Nishakula kitimoto yangu hapa, nawaza kuchukua ya 'take away' nikale na wanangu. Vizuri kula na wenzako ili upate thawabu
 
Hoja zako Hazina Mashiko. Karma is Real. Nenda Kinyume na Universal Laws Urudi Hapa jf kuniambia.
ALSO U CAN FIND IN GOOGLE SEARCH WITH THIS TITLE "there are things which can against universal law"

AI Overview
Learn more

No, generally speaking, there are no known exceptions or things that can outright "go against" universal laws in the scientific or philosophical sense. Universal laws are fundamental principles that describe how the universe operates and are considered to be true across all situations and times. While there might be complexities or apparent inconsistencies in how we understand or apply these laws, they are not generally considered to be broken or contradicted.


Elaboration:
  • Universal laws are fundamental principles:
    In physics, universal laws like gravity, electromagnetism, and thermodynamics describe the fundamental forces and properties of the universe. In ethics and philosophy, universal laws or principles are rules or concepts that are considered to be universally applicable and justifiable.
  • No known exceptions:
    While scientific models can be refined and improved over time, there are no known instances where a universal law has been definitively proven wrong or contradicted. New discoveries and theories might change our understanding of a particular law, but they don't invalidate it.


 
sina uhakika asilimia mia kwamba karma is real ila naamini Law ambayo inaendana na karma itakuwa Law of cause and effect
Siyo inaendana ndiyo Yenyewe mkuu.law of cause and effect.---kwamba chochote unachofanya kinaleta either + au - impact kwako au jamii inayokuzunguka. Hata Ulimwengu pia utakupa responds + au -. Hujaelewa bado?!
 
Siyo inaendana ndiyo Yenyewe mkuu.law of cause and effect.---kwamba chochote unachofanya kinaleta either + au - impact kwako au jamii inayokuzunguka. Hata Ulimwengu pia utakupa responds + au -. Hujaelewa bado?!
Ila kuna wengine wanaweza kufanya mambo mabaya na wala wasilipwe na mabaya hapo karma inakuwaje
 
Ila kuna wengine wanaweza kufanya mambo mabaya na wala wasilipwe na mabaya hapo karma inakuwaje
Dhambi ya Asili ya binadamu kutoka kwa Babu yetu (Adam) kwanini imetupata mpaka sisi ambao hatukuifanya wala pengine hatuijui. Tuanzie hapo si unataka kuelimishwa?!
 
Dhambi ya Asili ya binadamu kutoka kwa Babu yetu (Adam) kwanini imetupata mpaka sisi ambao hatukuifanya wala pengine hatuijui. Tuanzie hapo si unataka kuelimishwa?!
Kiaje, unajuaje kama dhambi ya adam unayo
 
HUU NDIO UKWELI AMBAO WATU WENGI WANAOGOPA KUSEMA.

Leo Ijumaa Kuu kwetu wakristo tunaiita ni siku ya kumbukizi ya Mateso kwa mwana wa Mungu.
Nami nimeona sio vibaya niseme maneno ambayo baadhi ya watu wanaogopa hata kuyasikia.

Lengo langu sio kuhimiza uasi wala ubaya ila napenda kusema ingependeza kila mtu aishi katika kile anachokiamini.

Lengo la maandiko yangu ni kuhimiza watu waache maigizo katika maisha yamkini wayafuate yale ambayo nafsi na mioyo yao inawasukuma kufanya pasipo kuwa na maigizo.

Kama unajijua wewe ni mtenda Mema basi ishi katika kutenda wema kila siku, kila dakika na kila saa, Tenda wema usiokusudia malipo.

Na kama wewe ni mtenda ubaya ishi katika ubaya, ishi katika visasi, ishi katika uovu ishi katika dhuluma, ishi katika ubinafsi uliotukuka! Acha kufanya maigizo ya kutenda wema fanya kile ambacho kinakupa furaha.

Lengo la kuyasema haya ni kukufungulia pasword ambayo Dunia ya mwanadam imemficha kumwambia ukweli.

1. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA JEMA KWA WEMA.

2. HAKUNA SIKU ASILI ITAKULIPA BAYA KWA UBAYA.

Hapa namaanisha kwamba kila jambo linalotokea katika maisha yako jua lilikuwepo katika mtililiko wa maisha yako.

Hakuna jambo litawahi kukutokea katika maisha yako kama matokeo ya Wema uliotenda au ubaya uliotenda.

Isipokuwa tu! Matokeo haya yanaweza kuonekana iwapo Ulimwengu utachukua hukumu ya matendo yako mfano ukitenda ubaya unaweza kushtakiwa kwa mjibu wa sheria za nchi uliyopo na ukaadhibika,

Vilevile ukitenda wema unaweza kulipwa wema na uliemtendea au mashahidi walioshuhudia wema wako.

Lakini tofauti na hapo Asili ya Dunia haijawai wala haitowahi ku repay chochote ulichowahi kufanya.

Wapo wengi wanaopitia mapito flani hadi mioyoni wanaanza kujihukujum kuwa pengine ni kwa sababu niliwahi kufanya kitu flani katika maisha ndio maana napitia haya... "Sio kweli"

Amini unachokipitia kilipaswa kikupitie ni mda wa wewe kupambana namna ya kujiokoa ila sio kukumbuka mapito yako.

Pia ukipata baraka amini ilipangwa utaipata isifikie mda ukaamini umebarikiwa kwa sababu ulijitoa kufanya jambo flani.. "sio kweli"

Sababu kuu ni kwamba wapo waliowahi kufanya wema au mazuri zaidi ya hilo ulilofanya wewe na hawajapata neema kama hiyo uliyopata wewe.

Pia wapo waliotenda maovu zaidi ya hayo yanayokusuta wewe hadi ukashindwa kusonga mbele ila bado wapo katika mstari ulionyooka na hakuna baya lolote lililowasibu na bado wanaishi vzuri sana.

Lengo langu sio kukufundisha wewe kutenda mabaya au kutenda wema.. no" Natamani tuwe na uwezo wa kuishi na kuitawala Dunia katika maisha yale yanayotupendeza wenyewe na sio kutawaliwa kifikra.
Yote kwa yote,
ni muhimu sana kila moja wetu kujiandaa kikamilfu kujipeleka mbele ya Mungu 🐒
 
Samahani mkuu, umesahau neno gentleman katika comment yako. I humbly submit 🙏
umefanya vizuri mno kuiandika hapo gentleman,

sasa waichukue hiyo yako na waihamishie kwenye koment yangu ya msingi na itapendeza zaidi 🐒
 
Dhambi ya Asili ya binadamu kutoka kwa Babu yetu (Adam) kwanini imetupata mpaka sisi ambao hatukuifanya wala pengine hatuijui. Tuanzie hapo si unataka kuelimishwa?!
Hiyo dhambi ya Adam unayo wewe kama nani? Na kama tunayo kwanini tunatofautiana life standard yamkini unaamini tunaishi katika adhabu ya dhambi ya Adam?

Acheni uzushi nyie
 
ALSO U CAN FIND IN GOOGLE SEARCH WITH THIS TITLE "there are things which can against universal law"

AI Overview
Learn more

No, generally speaking, there are no known exceptions or things that can outright "go against" universal laws in the scientific or philosophical sense. Universal laws are fundamental principles that describe how the universe operates and are considered to be true across all situations and times. While there might be complexities or apparent inconsistencies in how we understand or apply these laws, they are not generally considered to be broken or contradicted.


Elaboration:
  • Universal laws are fundamental principles:
    In physics, universal laws like gravity, electromagnetism, and thermodynamics describe the fundamental forces and properties of the universe. In ethics and philosophy, universal laws or principles are rules or concepts that are considered to be universally applicable and justifiable.

  • No known exceptions:
    While scientific models can be refined and improved over time, there are no known instances where a universal law has been definitively proven wrong or contradicted. New discoveries and theories might change our understanding of a particular law, but they don't invalidate it.

Hiyo Id name yako ni chama la wana..😅
 
Back
Top Bottom