LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,193
- 14,900
‼️KIHONGOSI MBONA ANAISHI HOTELINI - KAKABIDHIWA NINI🙄⁉️
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection
Taarifa ya uhakika ni kuwa Kihongosi hadi muda huu anakaa Kibo Palace hotel ambapo kwa siku unalipia dola 200 (takriban sh laki 5 na ushee) kwa ajili ya malazi!
Kisa!? Naambiwa Makonda bado yupo anakaa kwenye nyumba ya Mkuu wa Mkoa!
Tuache masihara!
Ofisi alikabidhiwa tarehe 30 June, leo ni tarehe 24 Julai
Siku 24 ukichukulia malazi tu ni laki 5 tunaangalia jumla ya gharama ya shilingi milioni 12 - nani analipa hii? Serikali?
Makonda atoke arudi zake nyumbani au ahamie hotelini ajilipie - tuache ufisadi wa kijinga
Nchi inaenda tu ka haina mwenyewe - inatafunwa kihuni na wahuni 🚮 ndo maana MABADILIKO NI LAZIMA
#NoReformsNoElection