Huu nao ni upepo, utapita tu!

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,216
113,510
Baadhi yetu tuliwaambia.

Na tumekuwa tukiwaambia kwa miaka mingi tu.

Lakini mko wagumu kuelewa na mko wasahaulifu sana.

Nisirudi nyuma sana maana nikifanya hivyo mnaweza hata msielewe.

2015 mgombea wenu wa UKAWA aliyakataa matokeo ya uchaguzi, hivyo kupelekea na wafuasi wake nao kuyakataa.

Huyu hapa akiyakataa hayo matokeo:



Sababu kuu ya kuyakataa matokeo hayo ni figisu za NEC ya CCM.

Hakuna la maana lililotokea hapo katikati kati ya mwaka 2015 na 2020.

2020 imefika. Uchaguzi umefanyika. Upinzani umeshiriki. Na CCM imeshinda kwa kishindo.

Upinzani unalia kudhulumiwa.

Hakuna jipya sana.

Kilichopo ni ‘narrative’ ya kwamba walau CCM ingewaonea huruma na kuwaachia hata viti vichache bungeni!

Pitiful. Just pitiful. And you’ve got to pity the fool.

Kama ulivyokuwa ule upepo wa 2015, huu wa 2020 nao utapita tu na watashiriki tena uchaguzi wa 2025.

Naamini mpaka kufikia 2025, watakuwa washayasahau haya ya 2020 maana hivyo ndivyo walivyo!

Na uchaguzi huo wa 2025 ukiisha, tutarudi hapahapa tulipo sasa.
 
Kabla ya yote unahitaji kujiuliza swali moja la msingi sana: Kwanini Magufuli amepigania theluthi mbili ya wabunge wote bara na visiwani hata kwa kumwaga damu? Unaweza kushangilia sasa kuwa CCM imeshinda kwa kishindo, lakini huenda lililopangwa likakuathiri hata na wewe unayeshangilia.
 
Kabla ya yote unahitaji kujiuliza swali moja la msingi sana: Kwanini Magufuli amepigania theluthi mbili ya wabunge wote bara na visiwani hata kwa kumwaga damu? Unaweza kushangilia sasa kuwa CCM imeshinda kwa kishindo, lakini huenda lililopangwa likakuathiri hata na wewe unayeshangilia.
Mimi wala sishangilii chochote!

Nawashangaa tu waliokuwa wanajipa matumaini hewa.
 
Kabla ya yote unahitaji kujiuliza swali moja la msingi sana: Kwanini Magufuli amepigania theluthi mbili ya wabunge wote bara na visiwani hata kwa kumwaga damu? Unaweza kushangilia sasa kuwa CCM imeshinda kwa kishindo, lakini huenda lililopangwa likakuathiri hata na wewe unayeshangilia.
Kwani hiyo theluthi mbili haikuwepo kabla?
 
Ni upepo utapita tu.
Simba na Yanga ikombele hapo.
Likiibuliwa kwa kasi mfano wa tukio kama la Morison.
yakitafutwa matukio mengine matatu makubwa, basi makamanda watasahau.

watanzania si ndo walewale wasikuzote tunajijua hulka zetu zilivyo.
 
Baadhi yetu tuliwaambia.

Na tumekuwa tukiwaambia kwa miaka mingi tu...
Iko hivi ,mkuu 2015 na miaka yote ya uchaguzi iliyopita haya Mambo yalikua kimia kimia na maisha mda mfupi yanaisha na maisha yanaendelea, sio kwa mwaka huu ambapo Mambo yamekua exposed Sana ,

Kwanza kulingana na mgombea wa upinzani wa mwaka huu ana akili kuliko mchwa,

Pili visasi vilivyoonyeshwa waziwazi kwa baadhi ya wagombea wa upinzani

Nne tangu chaguzi zote hakuna chaguzi inafuatiliwa na mataifa mbalimbali Kama huu ,that's yapo matamko yanaanza tolewa taratibu so jiulize mfano jpm pamoja na kupata Kura nyingi vipi mataifa mbali mbali wakisema hawamtambui unajua effect yake? Hapo labda inakua bado Kama taifa kuwekewa vikwazo

Ningekua na uwezo wa kumuona jpm live by live ningemwambia Mambo matatu Tena bila kutafuna maneno na najua angeelewa ila iyo nafasi siwezi kuipata , na ikitokea lazima avumilie maana nitampa fact na solution Nini kifanyike kutoka hapa ,Mambo haya mazito ,utafika mda watu wataacha zikana kisa siasa yanakuja mazito amini nawambien,watu huku chin wataanza fanyiana Mambo ya hovyo na tukifika huko maana yake huna taifa Tena,
 
Kabla ya yote unahitaji kujiuliza swali moja la msingi sana: Kwanini Magufuli amepigania theluthi mbili ya wabunge wote bara na visiwani hata kwa kumwaga damu? Unaweza kushangilia sasa kuwa CCM imeshinda kwa kishindo, lakini huenda lililopangwa likakuathiri hata na wewe unayeshangilia.
CCM wamekuwa na theluthi mbili ya Bunge tangu kuanzishwa kwa bunge la vyama vingi, kwa hiyo alikuwa ana uwezo wa kufanya lolote hata kabla ya huu uchaguzi, story zako za mtaani ziishie huko huko.
 
Iko hivi ,mkuu 2015 na miaka yote ya uchaguzi iliyopita haya Mambo yalikua kimia kimia na maisha mda mfupi yanaisha na maisha yanaendelea, sio kwa mwaka huu ambapo Mambo yamekua exposed Sana ,
Kwanza kulingana na mgombea wa upinzani wa mwaka huu ana akili kuliko mchwa,
Pili visasi vilivyoonyeshwa waziwazi kwa baadhi ya wagombea wa upinzani
Nne tangu chaguzi zote hakuna chaguzi inafuatiliwa na mataifa mbalimbali Kama huu ,that's yapo matamko yanaanza tolewa taratibu so jiulize mfano jpm pamoja na kupata Kura nyingi vipi mataifa mbali mbali wakisema hawamtambui unajua effect yake? Hapo labda inakua bado Kama taifa kuwekewa vikwazo
Ningekua na uwezo wa kumuona jpm live by live ningemwambia Mambo matatu Tena bila kutafuna maneno na najua angeelewa ila iyo nafasi siwezi kuipata , na ikitokea lazima avumilie maana nitampa fact na solution Nini kifanyike kutoka hapa ,Mambo haya mazito ,utafika mda watu wataacha zikana kisa siasa yanakuja mazito amini nawambien,watu huku chin wataanza fanyiana Mambo ya hovyo na tukifika huko maana yake huna taifa Tena,
Watanzania wamemchagua magufuli kwa kishindo ili aendelee kuwafungia mitandao, shubamit.

Mama zetu rangi ya mtume watamkoma magufuli
 
Iko hivi ,mkuu 2015 na miaka yote ya uchaguzi iliyopita haya Mambo yalikua kimia kimia na maisha mda mfupi yanaisha na maisha yanaendelea, sio kwa mwaka huu ambapo Mambo yamekua exposed Sana ,
Kwanza kulingana na mgombea wa upinzani wa mwaka huu ana akili kuliko mchwa,
Pili visasi vilivyoonyeshwa waziwazi kwa baadhi ya wagombea wa upinzani
Nne tangu chaguzi zote hakuna chaguzi inafuatiliwa na mataifa mbalimbali Kama huu ,that's yapo matamko yanaanza tolewa taratibu so jiulize mfano jpm pamoja na kupata Kura nyingi vipi mataifa mbali mbali wakisema hawamtambui unajua effect yake? Hapo labda inakua bado Kama taifa kuwekewa vikwazo
Ningekua na uwezo wa kumuona jpm live by live ningemwambia Mambo matatu Tena bila kutafuna maneno na najua angeelewa ila iyo nafasi siwezi kuipata , na ikitokea lazima avumilie maana nitampa fact na solution Nini kifanyike kutoka hapa ,Mambo haya mazito ,utafika mda watu wataacha zikana kisa siasa yanakuja mazito amini nawambien,watu huku chin wataanza fanyiana Mambo ya hovyo na tukifika huko maana yake huna taifa Tena,
Msiba upo kwako, kama wewe hujaanza kulia, unadhani jirani yako ndio atalia?

Wazungu kawaida Yao huanzia pale vuguvugu la mandamano na kuuwana Kwa wingi ndipo wanaingilia Kati Kwa kisingizio cha wananchi kuwa wanapinga matokeo hayo, ndipo hao Mabeberu wanaingia Kwa kuwaunga mkono wananchi

Bahati mbaya kabisa, Tanzania haliwezi kutokea Hilo, na linapoacha kutokea, kiashiria kingine ni kwamba, waliowengi wamekipa Kura Chama cha CCM na huo ndio ukweli,
 
Baadhi yetu tuliwaambia.

Na tumekuwa tukiwaambia kwa miaka mingi tu.

Lakini mko wagumu kuelewa na mko wasahaulifu sana.

Nisirudi nyuma sana maana nikifanya hivyo mnaweza hata msielewe.

2015 mgombea wenu wa UKAWA aliyakataa matokeo ya uchaguzi, hivyo kupelekea na wafuasi wake nao kuyakataa.

Huyu hapa akiyakataa hayo matokeo:



Sababu kuu ya kuyakataa matokeo hayo ni figisu za NEC ya CCM.

Hakuna la maana lililotokea hapo katikati kati ya mwaka 2015 na 2020.

2020 imefika. Uchaguzi umefanyika. Upinzani umeshiriki. Na CCM imeshinda kwa kishindo.

Upinzani unalia kudhulumiwa.

Hakuna jipya sana.

Kilichopo ni ‘narrative’ ya kwamba walau CCM ingewaonea huruma na kuwaachia hata viti vichache bungeni!

Pitiful. Just pitiful. And you’ve got to pity the fool.

Kama ulivyokuwa ule upepo wa 2015, huu wa 2020 nao utapita tu na watashiriki tena uchaguzi wa 2025.

Naamini mpaka kufikia 2025, watakuwa washayasahau haya ya 2020 maana hivyo ndivyo walivyo!

Na uchaguzi huo wa 2025 ukiisha, tutarudi hapahapa tulipo sasa.

Siasa siasa siasa, vyama vyama vyama, CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA, ACT, ACT ACT.

Siku moja moja basi simameni na wananchi. Pingine hata uovu.

Hivi kupingana na DHULMA, MAUAJI, UKATILI na UONEVU na kwenyewe mpaka mtu awe MFUASI wa chama cha siasa.

Hao wanasiasa sisi kama wananchi huwa tunawaunga mkono pale wanapokuwa wanatusemea mambo yetu. Siyo MITUME wa kutupeleka peponi.

Yaani mfano Akwilini kauawa kikatili na CCM hata hilo kupinga ni mpaka uwe mpinzani, really ?
 
Watanzania wamemchagua magufuli kwa kishindo ili aendelee kuwafungia mitandao, shubamit.

Mama zetu rangi ya mtume watamkoma magufuli
Mimi kinachonishangaza ni CCM kushindwa kutunga sheria ya kufuta vyama vya upinzani. Maana akidi hiyo ipo kwanini ionekane mnateseka sana na kitu ambacho mna wa kusababisha kisiwepo ndani ta siku 14 tu.
 
Mtazamo wako hauna uhalisia wowote,ni mawazo mepesi ambayo hayazingatii hal halisi ilivyo.
Ni lazima uelewe kwamba mapambano ya kudai haki za kisiasa sio kitu rahisi na Mara nyingi inachukua mda mrefu kupata mafanikio.Ilikuwa hivyo Kenya,Afrika kusini,Myamar na kwingineko duniani.
Kususia uchaguzi Tanzania kama njia ya kushinikiza mabadiliko ya kisiasa ni ujinga na haiwezi kufanya kazi.Isitoshe toka mfumo wa vyama vingi uanze hakuna uchaguzi ambao CHADEMA hawakupiga hatua,kila uchaguzi chama kiliongeza wabunge na madiwani.
Kwahiyo kushiriki uchaguzi,hata kwenye mazingira yaliyokuwepo,ilikuwa njia sahihi kuelekea malengo mahususi,unahitaji jukwaa la kupigania,na bunge ni jukwaa muhimu sana.
 
Usichokijua ni kwamba baada ya serekali ya CCM kulawiti uchaguzi huu wanaanza kulawiti mara moja wananchi wote bila ya kuangalia chama na wameanza kwa kuchezea internet.Kuzimwa kwa mitandao ya kijamii ni manyunyu tu,the worst is yet to come!
 
Back
Top Bottom