Huu mwaka 2023 kuna watu bado wanamsikiliza Issa Shivji?

Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Sasa mwenyewe mbona hujaeleza kitu. Kama msimamo wake kisheria na kiitikadi ni uleule kwa nini asiwe na mawazo yaleyale. Mkapa mwenyewe anajuta kwa jinsi aliendesha ubinafsishaji lipi linakufanya uone kwamba shifji alikosea kuhusu kupinga ubinafsishaji. Mashirika mangapi ubinafsishaji ulifaulu na mangapi ulifeli wewe unajua?
Hili la kukodisha bandari ni sawa na kuuza tu bandari zetu wala hamna ubishi. Vifungu vingi vinastaajabisha kwa jinsi ni ubeberu na ukoloni mkongwe.
 
AMEANDIKA MALISA GJ

#TimuYaWananchi
1. Profesa Anne Tibaijuka (Waziri Mstaafu, Mkurugenzi wa zamani UN Habitat, Mhadhiri mstaafu vyuo vikuu mbalimbali)
2. Profesa Issa Shivji (Nguli wa Sheria, Mwanamajumui wa Afrika, Mwanazuoni)
3. Tundu Lissu (Wakili Msomi, Mwanasiasa hodari, Rais mstaafu wa TLS)
4. Dr.Rugemezela Nshala (Wakili Msomi, Rais Mstaafu wa TLS, Mwalimu wa Law School aliyemfundisha Tulia Akson)
5. Dr.Charles Kitima (Katibu mkuu TEC, Mwanazuoni hodari, VC mstaafu Chuo kikuu SAUT)
6. Dr.Fredrick Shoo (Mkuu wa KKKT, Mhadhiri mstaafu vyuo vikuu mbalimbali, Mwanazuoni)
7. Sheikh Abubakar Zubeir (Sheikh Mkuu Tanzania, Mwanazuoni)
8. Freeman Mbowe (Mwanasiasa mbobevu, Mwenyekiti Chadema)
9. Jaji Joseph Sinde Warioba (Waziri Mkuu mstaafu, Jaji mstaafu, Mwanamajumui wa Afrika)
10. Dr.Wilbroad Slaa (Mwanasiasa Nguli, Balozi mstaafu, Katibu mkuu mstaafu Baraza la Maaskofu, katibu mkuu wa zamani Chadema).

#TimuYaMakasuku
1. Baba Levo (Chawa Mwandamizi)
2. Mwijaku (Chawa mwandamizi daraja la kwanza)
3. Zembwela (Msanii wa Futuhi aliyevamia taaluma ya habari)
4. Hando (Mwandishi aliyeamua kuharibu heshima yake ili kujaza utumbo mpana)
5. Kitenge (Dalali Mwandamizi daraja la kwanza)
6. Isaa Azam (Mtuhumiwa wa upinde)
7. Sophia(ni) Juma (Mtuhumiwa wa upinde)
8. Tivu ake (Msanii wa Futuhi)
9. Msukuma (darasa la 7 anayeamuni ana PhD bila kwenda darasani)
10. Kibajaji (Kepteni wa timu ya kusifu watawala ili kushibisha utumbo mpana)

Mechi ni dakika ya 25 kipindi cha kwanza, Timu ya Wananchi inaongoza bao 3 bila. Ukipenda sema tatu sifuri, au tatu nunge, au tatu yai, au tatu duara, au tatu bashite. Ngoma bado mbichi hii, hata half time bado.!
Hao kina baba revo ndio wale hawaoni tatizo mama alivyosema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Jaribu kuficha upumbavu wako kidogo
 
Mkuu Bandari karibia zote Duniani sasa hivi zinaenda kwenye Model ya Public-private ownership.

Dunia nzima inaelekea huko, tutake tusitake, Either tutaibinafshisha Leo Ama tutaibinafshisha miaka 50 ijayo wakati huo ikiwa too late na mizigo yetu yote ishaibiwa na Kenya, Congo na Msumbiji.

China Ambayo inaongoza Duniani Kwa Serikali yao kusimamia makampuni ya ndani wamebinafsisha Bandari, USA, Canada, Uingereza, Uholanzi, Ujerumani na mataifa Makubwa wamebinafsisha Bandari zao,

Huku Africa majirani wote wamebinafsisha sisi tunaendekeza ujamaa wetu
Hakuna anayepinga uwekezaji, ila kwetu sisi malkia juha hajabinafsisha, AMEUZA MILELE na hatapata kitu
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
wewe kiazi kweli, niache kumsikiliza legal puritan kwenye sheria, nisikilize propaganda? dah kweli aliyewatengeneza vijana kuona siasa ni chanzo cha uchumi na kushindwa kufanya kazi za kujitafutia riziki na kuwafanya wawe machawa ana laana sana. na alaaniwe kizazi chake chote. a sirious matter in the country unaleta siasa za kijinga na propaganda ushenzi.

zoja za kisheria za mikataba za uwekezaji sio za shivji,
 
Halafu Shivji hajuwi kabisa biashara. Hata sheria na kanuni za biashara hazijuwi kabisa, nimemsikiliza akiongea.


Yule Mzee wamchukuwe aongee mambo ya siasa ya ujamaa tu. Zimepitwa na wakati.


Huyu mzee ni katika watu walioishindilia misumari ya umasikini Tanzania.
 
Halafu Shivji hajuwi kabisa biashara. Hata sheria na kanuni za biashara hazijuwi kabisa, nimemsikiliza akiongea.


Yule Mzee wamchukuwe aongee mambo ya siasa ya ujamaa tu. Zimepitwa na wakati.


Huyu mzee ni katika watu walioishindilia misumari ya umasikini Tanzania.
aliyewafanya vijana wa CCM waamini kuwa siasa ni chanzo cha uchumi, ndio kawaaribu, haya endelea utafika mbali
 
aliyewafanya vijana wa CCM waamini kuwa siasa ni chanzo cha uchumi, ndio kawaaribu, haya endelea utafika mbali
Sasa hivi Serikali ya mama imeshaamuwa haitaki kufanya biashara, Biashara tufanye watu binafsi. Simpo.


Huwezi kufunguwa biashara biasghara halafu ukawa na masheria kibao ya ukitimba, futa futa yoye hayo,
 
Sasa hivi Serikali ya mama imeshaamuwa haitaki kufanya biashara, Biashara tufanye watu binafsi. Simpo.


Huwezi kufunguwa biashara biasghara halafu ukawa na masheria kibao ya ukitimba, futa futa yoye hayo,
ndio auze rasilimali tanganyika na kuacha kwao zanzibar?
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Tanzania ya ajabu kweli utakuta mtu hata degree amemaliza Kwa huruma za Dr Fulani ,lakini ana hoji uelewa wa profesa .Ungekuwa umesoma ungeelewa kwanini ma profesa duniani wachache ,Je unajua kwanini ukoo wenu hakuna professor?UPROFESA SIO MAKALIO.
 
ndio auze rasilimali tanganyika na kuacha kwao zanzibar?
Wewe kwendaa zako huko, wewe unajuwa hata maana ya neno rasilimali.


Kwanza jifundishe ni nini maana ya maneno "asset" na "liability". Halafu urudi uje kuongelea rasilimali.


Huwa mnabwabwaja tu na kuhororoja bila mpango, wewe unafanya biashara ipi sasa hivi?

Punguani wahed.
 
Wewe kwendaa zako huko, wewe unajuwa hata maana ya neno rasilimali.


Kwanza jifundishe ni nini maana ya maneno "asset" na "liability". Halafu urudi uje kuongelea rasilimali.


Huwa mnabwabwaja tu na kuhororoja bila mpango, wewe unafanya biashara ipi sasa hivi?

Punguani wahed.
ndio auze rasilimali za tanganyika na kuacha za kwao zanzibar,

mwambie akajifunze asset na liability zako ndio auze zanzibar
 
Miaka zaidi ya 25 iliyopita ISSA Shivji alikuwa miongoni mwa watu waliiongoza mijadala ya kupinga ubinafsishaji uliokuwa inafanywa na serikali ya Mkapa...aliendika Makala nyingi Sana na midahalo mingi Sana alishiriki...Issa Shivji, Jenerali Ulimwengu na wengine Wengi....cha ajabu kabisa juzi wakati kajitokeza tena kwenye kupinga Dpworld...cha ajabu kabisa ISSA Shivji karudia maneno yake yale Yale ya kupinga ubinafsishaji kabisa ...akisema namnukuu".. Bandari ni Sawa na mabenki" na Mimi naamini biashara ya bandari kama ilivyo Benki "ifanywe na serikali...ni hatari ikifanywa na watu wengine nje ya Serikali".....

Yaani sometimes kutofautisha proffesa na mganga wa Kienyeji huku Africa ni kama impossible...

Issa Shivji aliongoza kabisa privatisation ya banking industry....licha ya hiyo industry kuja kuwa most reliable na stable Tanzania ..miaka 25 baadae bado anaongea habari za "kuamini"...kweli?? Kwa miaka zaidi ya 25 toka Rais Mkapa alipoibadili sekta yote ya Benki Tanzania hizo hatari alizokuwa anazisema Issa Shivji na wenzie si ndo zingejitokeza ndani ya hiyo miaka 25 na Leo akawa anatukumbusha "maono na maonyo yake na wenzie"?...zile hatari alizo hubiri miaka 25 iliyopita za Ku privatise banking industry Leo hii si ndo angekuwa anatuambia "nilisema"..
Leo miaka 25 later anarudi na story za "kuamini kuna hatari"??Proffesa wa heshima kama yeye amefanya research za hatari aliyotuhubiria miaka 25 iliyopita ukweli wake ukoje Leo hii??na sasa kabisa bila haya anatuletea habari za "hatari ingine "ya bandari...yaani Sura kavu anakuja kuleta habari za kuamini badala ya kuleta habari zenye facts na evidence Kwa sababu amekuwa anaongea mambo Yaleyale lakini tunaona "matokeo"ni tofauti na hatari alizotutisha nazo miaka 25 iliyopita?..

Kibaya zaidi Kila mara anapoulizwa "solution" ya kila shirika linalo taka kubinafsishwa anakuja na theory za farasi aliekufa " Dead horse theory"...kwamba serikali ifanye hiki serikali ifanye kile..wakati dunia nzima hizi theory zimeshathibitika ni 'dead horse theory "...kumchapa fimbo zaidi farasi aliekufa haitasaidia kumfanya ainuke aanze kukimbia ili ufike unapotaka kwenda".....

Inakuwaje mwaka huu 2023 Issa Shivji anazungumza Umuhimu wa bank za Serikali kama vile hazipo kabisa?au hajui kuwa Kikwete alijaribu tena kurudisha Benki za Serikali na zikafa tena mara ya pili?? Iko wapi TIB? Iko wapi women's Bank? Iko wapi Bank ya wakulima aliyoanzisha Kikwete??..
Shivji hajui kuna bank ya serikali imeenea nchi nzima inaitwa TCB zamani ilikuwa inaitwa Bank ya Posta lakini "ina perform chini ya uwezo wake"?...Shivji hajui bank inaweza ingiza faida lakini bado ikawa ina perform ovyo???..
Why kila siku serikali inatangaza Kwa mbwewe gawio la Crdb na NMB lakini hawasemi gawio la TCB??...watu wenye mawazo ya ki communism kama Shivji wanawezaje kuwa na watu wanawasikiliza dunia ya sasa mwaka huu 2023...??idea zake zote zime prove failure Kwa ushahidi kabisa Kwa miaka zaidi ya 25...mtu kama huyu anawezaje kupata ujasiri wa kuhubiri tena hizi dead horse theory tena na tena miaka 25 na zaidi???...kibaya zaidi hata kwenye suala la Bandari anaongea uwongo na kuji contradict mwenyewe bila aibu...
Mara aseme mkataba ule wa IGA hatuwezi vunja ..halafu aseme tena Bunge linaweza kuvunja mkataba ule ..na akaongeza njia zingine nne za kuvunja mkataba......Mkapa alikuwa sahihi kabisa kum ignore huyu Issa Shivji na mawazo yake yalio pitwa na wakati...only time will tell Kama kwenye hili la Bandari kuna lolote la maana jipya alilo shauri....zaidi ya kutaka serikali "iendelee kufufua farasi aliekufa"....
Wanaounga mkono nao mpaka hivi sasa tunachokiona kutoka kwao siyo hoja bali ni picha za mitandaoni, wakiwa kwenye ndege na mahotekini au shoppung malks huko Dubai. So, unapendejeza tuwafuate hao?
 
Wanaounga mkono nao mpaka hivi sasa tunachokiona kutoka kwao siyo hoja bali ni picha za mitandaoni, wakiwa kwenye ndege na mahotekini au shoppung malks huko Dubai. So, unapendejeza tuwafuate hao?
Wewe ulitaka vipi?

U-Tushirikiane na Dubai wakuletee picha za Dodoma?
 
Zanzibar alishauziwa Hussein Mwinyi wa kutokea Mkuranga zamani, umelala nini? Wewe mwenyewe unauza, umekosa soko nini leo? kuna kijana rijali akaongea utumbo namna hiyo.
jibu swali, bandari ni muungano, mbona zanzibar haijauzwa? Ndio akomae na Tanganyika, mwambieni arudishe ten percent alizopewa asisumbue wanasheria hadi wanaonekana wajinga kwa ujinga wa mtu mmoja
 
jibu swali, bandari ni muungano, mbona zanzibar haijauzwa? Ndio akomae na Tanganyika, mwambieni arudishe ten percent alizopewa asisumbue wanasheria hadi wanaonekana wajinga kwa ujinga wa mtu mmoja
Umehaelewa maana ya "asset" na "liability".

Tanzania maana yake nini?
 
Wewe ulitaka vipi?

U-Tushirikiane na Dubai wakuletee picha za Dodoma?
Kwani kwa mjadaa unahitaji picha au hoja? Na hizo pucha si ni afadhali zingekua za site, sasa picha za watu wanaobebana hotelini zina maanisha nini? Au zinahusiana vipi? Au zinajibu maswali gani?
 
Back
Top Bottom