Huu Muziki wa Kijeshi wa China siyo mchezo: China sasa hivi siyo ya kuchezewa wako fiti

Ww ulo ongea ndio yana maana mkuu

Vita vipo ila lazma kuwe nasababu itakayo kupeleka vita na kwamujibunwasheria za UN Nchi ama taifa lolote linaruhusiwa kuingia vitani kwa minajili ya kujilinda US Ipo Amerka Huko LIBYA Ipo Afrika Ghaddafi wawatu aliitishia nn US Mpaka ikaja kujilinda na kumuua mzee wawatu ?!

Mkuu

Nipe justifications za vita?

Justification ya vita anaetoa definition na uhalali wa hiyo vita sio UN ndugu yangu!

Anaetoa justification na uhalali wa kufanya hiyo vita ni nchi husika kwa utashi wao,basi!

Umoja wa Mataifa sana sana atakachoweza fanya ni usuluhishi au kwenda kuokota vipande vipande vya watu au kutibu!
 
Bado hujajibu.
Una uhakika USA amezivamia nchi km Libya kisa threat??
Ufinyu wa fikra unakufanya utapetape.
Hapa tunazungumzia kuzivamia nchi km USA anavyofanya kisa unyonyaji wa resources ili akanufaishe kwao hiyo haihusiani na threat.
Huna hoja utatapatapa sana.
Kule juu umetoka kuhangaika kuwa ni sahihi nchi flan kuua kisa unyonyaji kwa nchi nyingine ili wapate manufaa umeona blunders za point yako umehamia ktk threat.

USA anaua mataifa yenye rasilimali za kutosha sio kwasababu ni threat kwake laa ni kwasababu ili apate ku exploit ili akajenge kwake.
Nataka jibu je ni sahihi anavyofanya???

Usipende kulazimisha ujuaji mkuu.

USA anavamia popote kutokana na utashi wake na maslahi yake!

Wewe huwezi toa definition ya kwanini wamevamia!

Wao ndio wanatoa definition na sababu sio wewe!

Ni kama TZ ilipovamia Uganda,walitoa definition na sababu kwanini mlivamia na hakuna mtu aliewatolea!

Ni sahihi au sio sahihi hiyo watajibu wao,sio wewe!

Hata ukijibu wewe hiyo ni binafsi yako!

Unajua maana ya vita wewe!?

Unajua justifications za vita ni nini?

Hujui kitu!
 
Kwanini mzee!

Wewe ukiwapa wanadamu wa nchi yako haki zao,maendeleo hayatakuja kivipi?

Hebu nipe correlation ya haki za binadamu na kukwama kwa maendeleo?

Hakuna correlation yeyote!

Kilichopo ni uoga wa kupoteza madaraka wa watawala kwenda kwa wengine kwa njia za kidemokrasia!

Ni hicho tu,!

Uoga wa kupoteza madaraka wa hawa watawala wetu wa third world shithole countries!
Dah... hili halihitaji maneno mengi. Walibya watakuelewesha vizuri
 
Other factors being constant, ni msingi wa hoja yangu.

Yaani, tukiweka sababu nyinginezo zinazoweza kuchochea uwezo wa kijeshi wa nchi katika kiwango sawa kisha tuangazie bajeti zao za kijeshi.

Marekani na Urusi ndiyo jibu la swali lako.

Lakini, utofauti upo hapa;

Kila nchi ina muundo au mfumo/mifumo ama taratibu zake za kijeshi au kwa lugha nyingine Military Doctrine.

Military Doctrine ya Marekani ni tofauti na nchi kama Urusi na hata aina ya silaha zao zinaendana na taratibu zao za kijeshi walizojiwekea.

Hiki kitu ndicho kinakuongoza kuzalisha kile unachokihitaji katika jeshi ikiwemo hizo zana za kivita.

Bajeti kubwa inakuwezesha sasa kuweza kuyakidhi mahitaji ya kimfumo na pia kwenda hatua zaidi katika Research & Development na kuliwezesha jeshi kujipambanua katika nyaja zote (Offensive & Defensive) katika ubora uleule na hapa ndipo Marekani inapowazidi wengine.
Bajeti kubwa anayo saudia lakini anga yake ni chujio
 
USA anavamia popote kutokana na utashi wake na maslahi yake!

Wewe huwezi toa definition ya kwanini wamevamia!

Wao ndio wanatoa definition na sababu sio wewe!

Ni kama TZ ilipovamia Uganda,walitoa definition na sababu kwanini mlivamia na hakuna mtu aliewatolea!

Ni sahihi au sio sahihi hiyo watajibu wao,sio wewe!

Hata ukijibu wewe hiyo ni binafsi yako!

Unajua maana ya vita wewe!?

Unajua justifications za vita ni nini?

Hujui kitu!
Unajikanyaga sana.
Nishakuzoea endelea kubwata.
Yani unafananisha sababu za kupigana vita za Tz na Uganda na uvamizi wa USA???
Nimekuletea article iloandikwa na USA wenyewe kuwa uvamizi wa mataifa unaofanya USA ni uvunjifu wa haki za kibinadam na sidhan km unafuatiliaga sababu za vita zinazotokea kat ya USA na mataifa vamiwa.
Kwa mujibu wa UN ukivamia nchi pasi na sababu maalum ya kuipiga hiyo vita basi umekiuka sheria za usalama za UN na kuvunja haki za binadam husika.
Ama hulijui hilo???
Mathalan Iraq ilipoivamia Kuwait ili kubeba mafuta ilivunja sheria za UN ndio maana Iraq ikaundiwa tume na kupigwa.
Asa Tz aliipiga Uganda sababu za kiusalama kwa Uganda kuivamia Kagera hiyo ni sawa taifa kujihami.

Anachofanya USA ni km alichokifanya Iraq kwa Kuwait ila yeye anatumia mwamvuli wa UN kuhalalisha yake.

Doooooh mkuu ukiniona nabishana na ww kuhusu hili nitukane tusi utakalo.
NAKUTAKIA WEEKEND NJEMA AM SURRENDERING.
 
Unajikanyaga sana.
Nishakuzoea endelea kubwata.
Yani unafananisha sababu za kupigana vita za Tz na Uganda na uvamizi wa USA???
Nimekuletea article iloandikwa na USA wenyewe kuwa uvamizi wa mataifa unaofanya USA ni uvunjifu wa haki za kibinadam na sidhan km unafuatiliaga sababu za vita zinazotokea kat ya USA na mataifa vamiwa.
Kwa mujibu wa UN ukivamia nchi pasi na sababu maalum ya kuipiga hiyo vita basi umekiuka sheria za usalama za UN na kuvunja haki za binadam husika.
Ama hulijui hilo???
Mathalan Iraq ilipoivamia Kuwait ili kubeba mafuta ilivunja sheria za UN ndio maana Iraq ikaundiwa tume na kupigwa.
Asa Tz aliipiga Uganda sababu za kiusalama kwa Uganda kuivamia Kagera hiyo ni sawa taifa kujihami.

Anachofanya USA ni km alichokifanya Iraq kwa Kuwait ila yeye anatumia mwamvuli wa UN kuhalalisha yake.

Doooooh mkuu ukiniona nabishana na ww kuhusu hili nitukane tusi utakalo.
NAKUTAKIA WEEKEND NJEMA AM SURRENDERING.

USA kama government ilishaandika “Article”?

Wewe umenikopia articles walizoandika watu binafsi unadai eti “USA” imeandika!Acha ukichaa!

Justification ya Uganda kuivamia TZ iwe sahihi na justification ya vita ya USA na wengine isiwe sahihi wakati zote ni vita na outcomes zake zote ni sawa?

Na mwenye mamlaka ya kusema vita hii ni sahihi na hii sio sahihi ni wewe?

Nikusikilize wewe unaetoa hukumu vita ya USA sio sahihi eti ya TZ ni sahihi kama nani?

Vita zote inherently ni evil haijalishi ni TZ au USA!

Huwezi pangia nchi isifanye vita inapoona inafaa kwake yenyewe!

Kama hupendi nchi fulani ilichofanya kuvamia nchi ingine na wewe ingia vitani uitoe kwenye hiyo vita!

Vita ni haki ya kila nchi!

Na kila nchi ina haki ya kujilinda na vita yeyote inayoletwa na nchi yeyote kwake!

Hutaki vita hamia Mars ondoka duniani!

Una vituko kuona vita fulani ndio sahihi na vita fulani sio sahihi,

Sijui unatumia moral compass gani kutoa hiyo judgement wakati vita zote hizo zinaua watu na kuharibu maisha kwa same intensity!

Una vituko sana aisee!
 
Sasa kama anakopeshwa hela na mchina halafu anatumia hizo pesa kwenye jeshi nani mjanja hapo?.

Halafu kitu kingine ujue ni kwamba Mchina akiweka bajeti ya dola 10 basi mmarekani ataweka bajeti ya dola 50 kwa kitu kilekile, siyo kwa sababu cha mmarekani ni kizuri zaidi bali ni kwa sababu cost of production China ni cheap

Nyinyi hamuijui China vizuri, kuna vitu mchina anavyo Marekani hana mfano mmoja ni fast moving trains, yaani kama ile unayotoka beijing mpaka Shanghai kwa masaa matano tu.

Shukran sana kwa comment nzuri hii ndo sabubu makampuni mengi yana toka marekani kwenda chini . Mmarekani huwezi kumlipa cheap labour kwa dollar 10 wakati kwa china hiyo unalipa wtu karibia wanne
 
wanaitisha Hong Kong Kong

unatunisha misuli ya weapons of mass destruction dhidi ya watu wako mwenyewe!
 
USA kama government ilishaandika “Article”?

Wewe umenikopia articles walizoandika watu binafsi unadai eti “USA” imeandika!Acha ukichaa!

Justification ya Uganda kuivamia TZ iwe sahihi na justification ya vita ya USA na wengine isiwe sahihi wakati zote ni vita na outcomes zake zote ni sawa?

Na mwenye mamlaka ya kusema vita hii ni sahihi na hii sio sahihi ni wewe?

Nikusikilize wewe unaetoa hukumu vita ya USA sio sahihi eti ya TZ ni sahihi kama nani?

Vita zote inherently ni evil haijalishi ni TZ au USA!

Huwezi pangia nchi isifanye vita inapoona inafaa kwake yenyewe!

Kama hupendi nchi fulani ilichofanya kuvamia nchi ingine na wewe ingia vitani uitoe kwenye hiyo vita!

Vita ni haki ya kila nchi!

Na kila nchi ina haki ya kujilinda na vita yeyote inayoletwa na nchi yeyote kwake!

Hutaki vita hamia Mars ondoka duniani!

Una vituko kuona vita fulani ndio sahihi na vita fulani sio sahihi,

Sijui unatumia moral compass gani kutoa hiyo judgement wakati vita zote hizo zinaua watu na kuharibu maisha kwa same intensity!

Una vituko sana aisee!
Inamaana wale watu wa UN ni watu binafsi???!!!
Hivi ulisoma jina la shirika lililoandika hiyo report??

UKIBISHANA NA MPUMBAVU UTAONEKANA MPUMBAVU KHERI UKAE KIMYA UEPUKE UPUMBAVU.

TZ AMEJIHAMI HUWEZI KUFANANISHA NA UVAMIZI WA USA WA KUPORA MALI.
HIV ALIYEUA KWA SLAUGHTER KISA KUJITETEA NA ALIYEUA ILI APORE NANI MUHALIFU KAMILI MAHAKAMANI??

JUSTIFICATION NILIZOKUPA NDIZO HIZO UN ALIYOIUNDA USA ZINAVYOSEMA.

NILIDHANI NAONGEA NA MTU NA AKILI ZAKE TIMAMU KUMBE HATA MWANANGU ANA AFADHALI.

EBU FUNGA BAKULI JADILIANA NA MAJUHA WENZAKO.
 
Inamaana wale watu wa UN ni watu binafsi???!!!
Hivi ulisoma jina la shirika lililoandika hiyo report??

UKIBISHANA NA MPUMBAVU UTAONEKANA MPUMBAVU KHERI UKAE KIMYA UEPUKE UPUMBAVU.

TZ AMEJIHAMI HUWEZI KUFANANISHA NA UVAMIZI WA USA WA KUPORA MALI.
HIV ALIYEUA KWA SLAUGHTER KISA KUJITETEA NA ALIYEUA ILI APORE NANI MUHALIFU KAMILI MAHAKAMANI??

JUSTIFICATION NILIZOKUPA NDIZO HIZO UN ALIYOIUNDA USA ZINAVYOSEMA.

NILIDHANI NAONGEA NA MTU NA AKILI ZAKE TIMAMU KUMBE HATA MWANANGU ANA AFADHALI.

EBU FUNGA BAKULI JADILIANA NA MAJUHA WENZAKO.

Mpumbavu wewe,UN ndio USA?

Na UN kulaumu vita ni kazi yake!

Na UN ni technically useless!

UN lazima ilalamikie vita popote pale duniani ndio kazi yake na hawezi fanya lolote zaidi ya kwenda kusaidia kutoa huduma ya kwanza!

Kumbe una watoto halafu una akili ndogo hivi?

Watoto wanatakiwa wakupige makofi kwa kuwarithisha genes za akili hovyo hivo!

Unahalalisha vita hii ni bora zaidi ya hii kwa kutumia morality za matakoni mwako!

Vita ni vita,zote ni hovyo!

Kunya ni kunya,sio eti kunya hii ni nzuri hainuki hii inanuka!

Una grade mavi hivi wewe ni kichaa?
 
Mpumbavu wewe,UN ndio USA?

Na UN kulaumu vita ni kazi yake!

Na UN ni technically useless!

UN lazima ilalamikie vita popote pale duniani ndio kazi yake na hawezi fanya lolote zaidi ya kwenda kusaidia kutoa huduma ya kwanza!

Kumbe una watoto halafu una akili ndogo hivi?

Watoto wanatakiwa wakupige makofi kwa kuwarithisha genes za akili hovyo hivo!

Unahalalisha vita hii ni bora zaidi ya hii kwa kutumia morality za matakoni mwako!

Vita ni vita,zote ni hovyo!

Kunya ni kunya,sio eti kunya hii ni nzuri hainuki hii inanuka!

Una grade mavi hivi wewe ni kichaa?
Sibishani na mpumbavuuuu mimi.
Maana hata watu wamekupuuza ulivyo zwazwa.
Baki na akili zako fupi.
Maana hujitambui unabwabwaja tu.
Kheri ukae kimya uonekane mjinga kuliko kubwatuka kulazimisha ujuaji ukaonekana mpumbavu.
Nakusisitiza jadili na majuha wenzako niondolee ujuha.
Maana hata mifano unayotoa ya kipumbavu.
Unafananisha mtu aliyefanya slaughter kisa kujitetea na jambazi??
Inamaana mahakamani walioweka hukumu ya chini ama msamaha kwa wale slaughters ni majuha???
Kumbafu kabbisa yani hata wenzako wanakushangaa humu ndani.

NAKUSISITIZA JADILI NA MAJUHA WENZAKO.
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Sibishani na mpumbavuuuu mimi.
Maana hata watu wamekupuuza ulivyo zwazwa.
Baki na akili zako fupi.
Maana hujitambui unabwabwaja tu.
Kheri ukae kimya uonekane mjinga kuliko kubwatuka kulazimisha ujuaji ukaonekana mpumbavu.
Nakusisitiza jadili na majuha wenzako niondolee ujuha.

Hubishani na mpumbavu wakati hapo hapo unajibu comment!

What an irony?

Anaesema mimi zwazwa ni wewe bwana Kosugi?

Wewe hapo zwazwa mwenzangu?

Nikae kimya for what?You said so?

Nah

Its good juha mwenzangu kuniita juha!

Upo kwenye kioo tunaonana majuha!

You are welcome!
 
Hubishani na mpumbavu wakati hapo hapo unajibu comment!

What an irony?

Anaesema mimi zwazwa ni wewe bwana Kosugi?

Wewe hapo zwazwa mwenzangu?

Nikae kimya for what?You said so?

Nah

Its good juha mwenzangu kuniita juha!

Upo kwenye kioo tunaonana majuha!

You are welcome!
Nishaku block usijali.
 
Wachina wajanja wajanja tu ndo maana mpaka leo kule WTO hawataki kutambulika kama nchi iliyoendelea wanalia wanataka waendelee kutambulika kama nchi inayoendelea ili waendelee kuwanyonya wengine na kutajirika kupitia wengine.

Bora unyonyaji wa mzungu kuliko mchina,huyu mchina ukishindwa kulipa madeni anakwapua rasilimali zako muhimu, miundombinu muhimu kama vile bandari nk. Hapo bado ukimpa tenda anataka mpaka mchanga utoke China ndo maana katika vitu nlichomkubali Magufuli ni kutowapa ule mradi wa reli na kuwapa waturuki. Wale sio watu. Ndo maana sasa hivi nchi nyingi zimeshtuka kuhusiana na miradi yao ikiwemo Pakistan ambae ni mshirika wake, wanapitia upya miradi yao upya ya BRI. Hapo hatujaigusa Malaysia,nk

Wachina hawataki kufungua masoko yao kwa kampuni za kigeni lakini wakienda kwenye nchi za watu kama Marekani,Ulaya nk wanataka masoko yao. Wanafungia kampuni za kigeni kuogopa ushindani kama Google, Facebook, Netflix nk lakini wao Huawei kupigwa ban tu wanalalamika.
Kiufupi China ni tapeli,na sasa nchi zimeshaamka,wanataka mabadiliko yafanyike WTO ili China iachane na utapeli wake
Wachache sana wanaweza kuelewa hili.
 
mnaongea kama vile USA amelala wajamaa wao hawapendi show off utakuta wana siraha classified zipo tu kwenye ghara zimetulia unadhani kwa dunia ya sasa marekani ni mtu wa ku show off siraha.
 
Other factors being constant, ni msingi wa hoja yangu.

Yaani, tukiweka sababu nyinginezo zinazoweza kuchochea uwezo wa kijeshi wa nchi katika kiwango sawa kisha tuangazie bajeti zao za kijeshi.

Marekani na Urusi ndiyo jibu la swali lako.

Lakini, utofauti upo hapa;

Kila nchi ina muundo au mfumo/mifumo ama taratibu zake za kijeshi au kwa lugha nyingine Military Doctrine.

Military Doctrine ya Marekani ni tofauti na nchi kama Urusi na hata aina ya silaha zao zinaendana na taratibu zao za kijeshi walizojiwekea.

Hiki kitu ndicho kinakuongoza kuzalisha kile unachokihitaji katika jeshi ikiwemo hizo zana za kivita.

Bajeti kubwa inakuwezesha sasa kuweza kuyakidhi mahitaji ya kimfumo na pia kwenda hatua zaidi katika Research & Development na kuliwezesha jeshi kujipambanua katika nyaja zote (Offensive & Defensive) katika ubora uleule na hapa ndipo Marekani inapowazidi wengine.
Unaweza ukawa upo sahihi ila unataka kunambia jeshi la UK GERMAN FRANCE Zinazidiwa Kuhusiana Na Research Na RUSSIA?!

Kama zinazidiwa nijue na kama haizizdiwi Why Haziingii kwa top 2 yamajeshi bora ya DUNIA taifa la RUSSIA Linatumia Gharama Ndogo Kuunda Vitu Bora Vyakijeshi ukilinganisha namataifa yakibepari
 
Back
Top Bottom