Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,191
Fikra za kishenzi sana ameeleza huyo jamaa.Umelishwa propaganda za CNN na Fox news wewe.
Nashangaa mauaji ya kidhalimu ya kuiba resources za watu duniani unaita ni Nationalism. kwa hiyo wewe watu milioni moja waliouawa na Markani ili iibe wese kwako hao ni takataka tu?