Huu msemo sijawahi kuukubali

Huu msemo sijawahi kuukubali

Mfano mtu una mpa mchongo ana ukataa kabisa una mbembeleza una ongea nae vizuri yaan kwa kujaribu kumpanua mawazo atambue ata umuhimu wa ilo jambo ana goma

Mwisho yame mshinda mambo ndio ana kuja na kuanza tena kuomba msaada. Na kusema mda ule ujui Mungu kaniepusha na nini? Tuwe wakweli kuna mda riziki binadamu tuna zikimbia wenyewe Mungu tuna msingizia mnataka Mungu atoke uko akuambie fanya hiki? Kakupa maarifa jiongeze

Mimi binafsi sijawai kuukubali Kusema kila mtu na riziki yake
Kwanza kabisa athibitishe Mungu yupo.

Asije kumsingizia Mungu ambaye hayupo jambo la uzembe wake binafsi tu.
 
Back
Top Bottom