Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,786
Mfano mtu una mpa mchongo ana ukataa kabisa una mbembeleza una ongea nae vizuri yaan kwa kujaribu kumpanua mawazo atambue ata umuhimu wa ilo jambo ana goma
Mwisho yame mshinda mambo ndio ana kuja na kuanza tena kuomba msaada. Na kusema mda ule ujui Mungu kaniepusha na nini? Tuwe wakweli kuna mda riziki binadamu tuna zikimbia wenyewe Mungu tuna msingizia mnataka Mungu atoke uko akuambie fanya hiki? Kakupa maarifa jiongeze
Mimi binafsi sijawai kuukubali Kusema kila mtu na riziki yake
Mwisho yame mshinda mambo ndio ana kuja na kuanza tena kuomba msaada. Na kusema mda ule ujui Mungu kaniepusha na nini? Tuwe wakweli kuna mda riziki binadamu tuna zikimbia wenyewe Mungu tuna msingizia mnataka Mungu atoke uko akuambie fanya hiki? Kakupa maarifa jiongeze
Mimi binafsi sijawai kuukubali Kusema kila mtu na riziki yake